Watakoma na wizi wao kila cku wanatafuna pesa na serikali kimya sasa kikwete atafute pesa yakufidia hapo kwenye budget maana wamezoe,pesa sio ya umma ni ya wenyewe wawekezaji
Umemuelewa lakn?mtoto wa mchonga au na ww unakurupuka inamaana watz wamuenzi kwa matendo uadilifu na uwajibikaji kwa maisha yao yote ndicho alichomaanisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.