Recent content by Godee jr

  1. Godee jr

    Miaka 5 ya Samia madarakani ametekeleza miradi mikubwa mingi kuliko Rais yeyote wa kabla yake

    Sasa kama hapa karibu tu pamemshinda atawezaje uko vijijini ndani ndani. Miaka zaidi ya 65 lakini bado mikoa mikubwa kama Dar kweli tunaangaika na maji??
  2. Godee jr

    Miaka 5 ya Samia madarakani ametekeleza miradi mikubwa mingi kuliko Rais yeyote wa kabla yake

    Hivi unajua kuwa hapa Kimara tu kuna watu hawajapata maji toka mwaka jana?
  3. Godee jr

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Wanazingua sana. Alafu kila mwezi wanatuma control number za kulipia
  4. Godee jr

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Bila bila mkuu. Tumekaa na madude yao tu ndani
  5. Godee jr

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Wamefunga tayari. Shida ni zinawaka taa nyekundu tu kuonyesho no power
  6. Godee jr

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Hatukulipa tena. Walitoa ahadi kuwa wangewasha mwezi wa 10, baadae wakasema wa 11. Wakaja wakasema January. Cha kushangaza kila mwezi wanatuma Control number na na baadae wanakupigia simu kukumbusha kulipa. Ukiwaelezea huduma hakuna wanatuletea mafundi wao ambao ndio hao wanaotoa ahadi hewa
  7. Godee jr

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Nakubaliana na wewe kabisa. Tatizo ni ufuatiliaji wao. Haiwezekani watumie nguvu na pesa nyingi kuja kufunga miundombinu yao alafu wakwame kwenye sehemu moja tu ya kuwasha ili tupate huduma. Yaani kama vile wewe ujue kabisa kuwa huduma yako inaishia Manzense alafu wewe uendelee kuwafungia watu...
  8. Godee jr

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Ni wao mkuu. Hakuna mwingine mwenye access na magari, wire na hizi router zao
  9. Godee jr

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Nishapiga simu sana mkuu. Hakuna msaada. Yaani nyumba zaidi ya 50 tumefungiwa haya madude yao lakini hatuna huduma
  10. Godee jr

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Mlikuja vizuri, mkatufungia router ndani, mkachukua details zetu na mkatutumia control number tukalipia 55,000. Cha kusikitisha tangu tulipie mwaka jana mwezi wa 8 hadi leo huduma haijawahi kupatikana. Tukiuliza tunajibiwa kuwa Power hakuna kwani wateja wamejaa. Tafadhali sana turudishieni pesa...
  11. Godee jr

    DC Petro Magoti: Tumekamata gari kutoka Mbezi lenye watu 50 waliokuwa wanakuja Kisarawe kununua ardhi kwa laki 2

    Aisee kuna wadogo zangu wawili wamenunua viwanja ilo eneo juzi tu hapa. Na mimi pia nilishawishika kujipanga niende nikapaone na ninunue.wenye kujua zaodi kuhusu hayo maeneo anijuze please Kumbuka kuwa waliuziwa na kampuni na wakapewa doc ya manunuzi ikiwa na muhuri wa mwanasheria
  12. Godee jr

    Baada ya maafa ya maandamano ya MO29, sidhani kama watanzania wana nguvu ya kuandamana tena kwa miaka 20 ijayo, watu wanaogopa sana maandamano

    Mimi sikuandamana ili kilichotokea siku ile kimebadilisha jinsi nilivyokuwa nawachukulia Watanzania. Watanzania ni watu ambao ilikua wakisikia mlio wa risasi kila mtu anatafuta njia ya kutokea. Ila siku ile nilisikia.milio ya risasi na mabomu kwa siku 3 mfululizo usiku na mchana. Hii ina...
Back
Top Bottom