Recent content by Godee jr

  1. Godee jr

    JamiiForums Tanzania FT: Mbeya City 0-1 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Uwanja wa Sokoine | Juni 17, 2026

    Naombeni link ya kuangalia online please. Naona lile chimbo letu hawaonyeshi leo la fawanews
  2. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Nimefanikiwa mkuu. Asante sana
  3. Godee jr

    JamiiForums Tanzania Nitumie mabati gani kati ya Bomba na Dragon?

    Tunsomba mrejesho mkuu
  4. Godee jr

    JamiiForums Tanzania Nitumie mabati gani kati ya Bomba na Dragon?

    Mkuu habari. Hali ipoje sasa hivi. Nataka nikachukue mzigo kesho
  5. Godee jr

    JamiiForums Tanzania Miaka 5 ya Samia madarakani ametekeleza miradi mikubwa mingi kuliko Rais yeyote wa kabla yake

    Sasa kama hapa karibu tu pamemshinda atawezaje uko vijijini ndani ndani. Miaka zaidi ya 65 lakini bado mikoa mikubwa kama Dar kweli tunaangaika na maji??
  6. Godee jr

    JamiiForums Tanzania Miaka 5 ya Samia madarakani ametekeleza miradi mikubwa mingi kuliko Rais yeyote wa kabla yake

    Hivi unajua kuwa hapa Kimara tu kuna watu hawajapata maji toka mwaka jana?
  7. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Wanazingua sana. Alafu kila mwezi wanatuma control number za kulipia
  8. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Bila bila mkuu. Tumekaa na madude yao tu ndani
  9. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Wanatia hasira sana hawa watu
  10. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Wamefunga tayari. Shida ni zinawaka taa nyekundu tu kuonyesho no power
  11. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Naijua mkuu
  12. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Hatukulipa tena. Walitoa ahadi kuwa wangewasha mwezi wa 10, baadae wakasema wa 11. Wakaja wakasema January. Cha kushangaza kila mwezi wanatuma Control number na na baadae wanakupigia simu kukumbusha kulipa. Ukiwaelezea huduma hakuna wanatuletea mafundi wao ambao ndio hao wanaotoa ahadi hewa
  13. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Nakubaliana na wewe kabisa. Tatizo ni ufuatiliaji wao. Haiwezekani watumie nguvu na pesa nyingi kuja kufunga miundombinu yao alafu wakwame kwenye sehemu moja tu ya kuwasha ili tupate huduma. Yaani kama vile wewe ujue kabisa kuwa huduma yako inaishia Manzense alafu wewe uendelee kuwafungia watu...
  14. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Ni wao mkuu. Hakuna mwingine mwenye access na magari, wire na hizi router zao
Back
Top Bottom