Sasa kama hapa karibu tu pamemshinda atawezaje uko vijijini ndani ndani.
Miaka zaidi ya 65 lakini bado mikoa mikubwa kama Dar kweli tunaangaika na maji??
Hatukulipa tena. Walitoa ahadi kuwa wangewasha mwezi wa 10, baadae wakasema wa 11. Wakaja wakasema January.
Cha kushangaza kila mwezi wanatuma Control number na na baadae wanakupigia simu kukumbusha kulipa. Ukiwaelezea huduma hakuna wanatuletea mafundi wao ambao ndio hao wanaotoa ahadi hewa
Nakubaliana na wewe kabisa. Tatizo ni ufuatiliaji wao. Haiwezekani watumie nguvu na pesa nyingi kuja kufunga miundombinu yao alafu wakwame kwenye sehemu moja tu ya kuwasha ili tupate huduma.
Yaani kama vile wewe ujue kabisa kuwa huduma yako inaishia Manzense alafu wewe uendelee kuwafungia watu...
Mlikuja vizuri, mkatufungia router ndani, mkachukua details zetu na mkatutumia control number tukalipia 55,000.
Cha kusikitisha tangu tulipie mwaka jana mwezi wa 8 hadi leo huduma haijawahi kupatikana. Tukiuliza tunajibiwa kuwa Power hakuna kwani wateja wamejaa.
Tafadhali sana turudishieni pesa...
Aisee kuna wadogo zangu wawili wamenunua viwanja ilo eneo juzi tu hapa. Na mimi pia nilishawishika kujipanga niende nikapaone na ninunue.wenye kujua zaodi kuhusu hayo maeneo anijuze please Kumbuka kuwa waliuziwa na kampuni na wakapewa doc ya manunuzi ikiwa na muhuri wa mwanasheria
Mimi sikuandamana ili kilichotokea siku ile kimebadilisha jinsi nilivyokuwa nawachukulia Watanzania.
Watanzania ni watu ambao ilikua wakisikia mlio wa risasi kila mtu anatafuta njia ya kutokea. Ila siku ile nilisikia.milio ya risasi na mabomu kwa siku 3 mfululizo usiku na mchana. Hii ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.