Daaah. Umenikumbusha mbali sana. Hiyo ndio ilikua ajira yangu ya kwanza hapo NBC bank wakati nimemaliza Form Six 2008.
Nilipangiwa Samora branch na kulikuwa na scheme ya Group Loan kwa wafanyalazi wa Manispaa ya Ilala. Mshahara ulikia 180,000 ila commission ilikuwepo.
The good thing na hii...
To be honest mi naona kama napoteza umeme tu. Nina firdge kubwa. Nawasha usiku na naweza Power saver.
Nikiamka asubuh vitu vyote vimeganda na vinabaki vimeganda mchana wote hadi jioni tena. Uzuri ni kuwa upande wa freezer kunafunguliwa wakati wa kupika tu
Tangu Mtwara wavunjwe viuno ili gas ije Kinyerezi kumaliza tatizo la umeme ambalo mpaka leo linaenfelea kututesa sijui mtatumia maneno gani kunifanya niwaamini tena CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.