Recent content by Godee jr

  1. Godee jr

    Chakula hiki nimekipata kwa elfu 3000 tu

    Kuna mwenzio nae alisema amekula the same food April 11 na yupo Uganda
  2. Godee jr

    Mamlaka ya Chakula tunaomba ufafanuzi kuhusu cerelac za watoto

    Niko hapa nasubiria majibu maana binti yangu ndio anamalizia kopo lake la kwanza tangu amezaliwa.
  3. Godee jr

    Mshahara wa Direct Sales Agents NBC upoje?

    Daaah. Umenikumbusha mbali sana. Hiyo ndio ilikua ajira yangu ya kwanza hapo NBC bank wakati nimemaliza Form Six 2008. Nilipangiwa Samora branch na kulikuwa na scheme ya Group Loan kwa wafanyalazi wa Manispaa ya Ilala. Mshahara ulikia 180,000 ila commission ilikuwepo. The good thing na hii...
  4. Godee jr

    Utunzaji wa vyakula kwenye friji

    To be honest mi naona kama napoteza umeme tu. Nina firdge kubwa. Nawasha usiku na naweza Power saver. Nikiamka asubuh vitu vyote vimeganda na vinabaki vimeganda mchana wote hadi jioni tena. Uzuri ni kuwa upande wa freezer kunafunguliwa wakati wa kupika tu
  5. Godee jr

    Paul Makonda anakwenda kulifanya Jiji la Arusha kuwa maarufu kuipita Washington DC Marekani au Dubai

    Lucas hivi una matatizo gani? Mbona unaandika vitu vya kitoto sana. Ni hizi njaa tu au kuna la ziada?
  6. Godee jr

    DART kuchukua hatua dhidi ya Dereva na Wasimamizi wa Mwendokasi waliowapeleka Abiria Morocco badala ya Kimara

    Yaani niache kuishi kwenye nyumba yangu nikapange Morocco. Kweli akili hauna
  7. Godee jr

    Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

    Watapiga watu na kuleta vurugu then wapinzani wetu wataenda kushtaki kuwa wamefanyiwa fujo. Atatuponza huyu jamaa
  8. Godee jr

    MacBook Air inagoma kuwaka

    Asante mkuu kwa ushauri wako
  9. Godee jr

    MacBook Air inagoma kuwaka

    @chief_mkwawa please pita hapa
  10. Godee jr

    MacBook Air inagoma kuwaka

    Wajuzi wa hii laptop naombeni msaada. Nilikua naitumia then nikatoka nje. Kurudi nakutana na hii hali. Msaada wa kujua tatizo wakuu
  11. Godee jr

    Bahasha fc: Tumalize mchezo mapema

    Tatizo lipo hapa
  12. Godee jr

    Yanga msimu huu wa Simba dhaifu wekeni record mpya ya goli 12

    TFF na Board ya league isipofuata huu ushauri tutegemee kuporomoka kwa league yetu. Huu upinzani sio halisi kabisa. Prince Dube amethibitisha hili
  13. Godee jr

    Hatimaye naoa

    Pambana mkuu. Mimi mwenyewe weekend iliyopita nimetoka kutoa mahari. Ndoa mwezi wa 10. Liwalo na liwe bwana. Uoga nao ni ugonjwa pia
  14. Godee jr

    Shujaa wa Afrika aliyepambania taifa lake kumaliza tatizo la Umeme. Mradi wa JNHP ni suluhu kwa taifa letu

    Tangu Mtwara wavunjwe viuno ili gas ije Kinyerezi kumaliza tatizo la umeme ambalo mpaka leo linaenfelea kututesa sijui mtatumia maneno gani kunifanya niwaamini tena CCM
  15. Godee jr

    Agiza Kariakoo kwa bei nafuu

    Nitext number yako PM
Back
Top Bottom