Namfatilia sana omondi
Ukweli kwa tanzanzania comedians hakuna anayefika kwa jamaa hasa kwa live perfomance.
Ukiacha erick,kuna jamaa wa ug anaitwa pablo, kenya kuna jamaa anaitwa chepukeezy na mwingine ni pastor man kush anaitwa pastor kulya ni noma.
Ushauri wangu hawa jamaa wakae chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.