Hakuna kitu hapo. Hofu ni ishara ya kiongozi dhaifu sisi sio dhaifu. Kwani wao WALITUUMBA?... Wasiposupport wao Hatutakufa... tukula na kunywa mazao tunayo.
Hivi UNAUMWA KISHA UNAPIMA ?? AU UNAPIMA KISHA UNAUMWA? Nijibu kidha ndio nitajua Je una akili au unaigiliza akili. ... Unakula baada ya kupanda njaa. Au unapata njaa baada ya kula.
Wazungu sio mabeberu ila WALE wanaotaka kuinyonya NCHI ndio mabeberu ila wale ambao wanakuja kuwekeza nchini na kufuata taratibu za kunufaisha nchi bila kuinyonya hao ni MABEBERU TU.
Jidanganye... BIDEN IS BAD... see what the world will be...
We all gonna be FORCED TO RECEIVE RFID COVID 19 VACCINE. then we get Control. TUnakwenda kuwa watumwa kwa lazima . Kumbuka CORONA ni mpango wa China na Democrat kumuondoa TRIMP Madarakani maana kwa travk record aliyokuwa naye alishaanza...
Aende AYAACHE MADINI YETU SALAMA... HAO WAZUNGU WALIOMSINDIKIZA SISI HATUWAOGOPI... SI NDIO WSLITAKA KUIBA MICHANGA YA DHAHABU MAGUFULI AKAXUIA... WanaMPENDA LISU MAANA AMEWAAHIDI KUWAPA MADINI YA WATANZANIA. Kwa kuweka rehani.
Biden atafuta kauli zote za serikali ya Trump... so hawezi fanya lolote kuikandamiza TZ ila ninachoHOFIA anaweza Kuilazimisha TZ kuhusu lockdown na kulazimisha watu kupigwa chanzo yenye RFID chip ila hata hivyo ni kwenye mwaka ujao marekani watafanyiwa MANDATORY VACCINATION this is very terrible.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.