Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Laana au karma sasa imeishika CHADEMA baada ya kupuuza wananchi na kumkumbatia bwanyeye Amsterdam.
Tulionya lakini Makamanda waliamini kuwa Tundu kaja na suluhisho na ghafla wakadharau wananchi na kuegemea kwa bwanyeye Robert.
Muda umetoa hukumu.
Laana au karma sasa imeishika CHADEMA baada ya kupuuza wananchi na kumkumbatia bwanyeye Amsterdam.
Tulionya lakini Makamanda waliamini kuwa Tundu kaja na suluhisho na ghafla wakadharau wananchi na kuegemea kwa bwanyeye Robert.
Muda umetoa hukumu.