Recent content by gmallo

  1. gmallo

    Barua kwako Eric wa CCM

    Kwel watu akili zimejaa maji [emoji58][emoji58]
  2. gmallo

    Robert Kiyosaki amenibadili leo, Nakuwa bilionea

    Kusoma kwenye pdf hainogi tafuta kitabu
  3. gmallo

    Robert Kiyosaki amenibadili leo, Nakuwa bilionea

    Robert Kiyosaki ni great writer amespend maisha yake kupractice anacho kijua na kufundisha watu. Umesoma vitabu vyake viwil unasema unaenda kuwa billionaire REALLY Wealth is the mind set is all about what going on in your mind Kuna vitu vingi sana vya kukonsida kuwa billionaire. Nakushauri...
  4. gmallo

    Tajirika na Tikiti ungali bado kijana

    Watu wengi mnaongelea mambo ya risk mara inaweza kukupiga mara soko hakuna mambo meeeeeeeeengi Ambayo yanaweza kumkagisha mtu tamaa Dunia ya sasa tuko katika information age. Industrial age ilisha pita miaka mingi sana Kitu anacho kiongelea salaniatz hizo ni fact na unaweza piga zaidi ya iyo...
  5. gmallo

    Msaada wa mawazo

    Maisha sikuzote ni kujua unachokitaka. Ukiwa na uhakika na unachokitaka utatafuta jinsi ya kukipata. Ushauri wa kukupa cha kwenda kusomea utakuwa bla.bla tu kama hauna picha ya unachokitaka kwenye gurudumu lako la maisha. Ukisha jua unataka kufanya nn au kuwa nani katika kila agle ya maisha...
Back
Top Bottom