Naona wazee wameshindwa kutupa majibu wamebakia kutukana matusi mara sijui hoja ya kitoto mara sijui ilikuwa hivi mm nafikiri kipindi hicho la nane halikuwepo basi kuna kitu vilevile baba j kutoka seminary hapa napo panashida tena
Hoja ya ukweli ujibiwa bila kikwazo chochote tena bila dharau lkn unatakiwa kufahamu yakuwa baba j rais wa tz mkuu tunahitajika kumfahamu kiundani hasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.