Recent content by GM-ARUSHA

  1. G

    Lowassa na UKAWA wamesahau kuwa SIASA NI SAYANSI

    mfa maji haachi kutapatapa,ccm mtaongea sana na kuleta tafiti nyingi,lakini mwisho wenu unakaribia,octoba 25,mujiandae kisaikolojia!
  2. G

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Napenda kumshauri mgombea wa ukawa kwamba katika kipindi hiki cha kampeni anatakiwa awe makini na kauli zake kwani zinaweza kumpotezea wapiga kura wengi kutokana na itikadi zao tofauti. Kwa mfano kauli yake kuhusu Babu Seya na hivi karibuni kuomba kura kanisani kupitia mwamvuli wa...
  3. G

    Usanii mpya wajitokeza Tanzania

    jamani tukubali au tukatae huu ni mwaka wa wa edward lowassa,mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!
  4. G

    Ukame wa wana CCM kuhamia CHADEMA, je Lowassa amefilisika au ameuziwa mbuzi kwenye gunia?

    mmh! yangu macho na masikio,hakika watanzania tuzidi kumuomba Mungu atupe rais sahihi!
  5. G

    Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

    duh!kweli wananchi tumeachwa njia panda!
  6. G

    Maswali kumi kwa Edward Lowassa na Wafuasi wake

    Kwanini mnaangalia ubaya tu wa mzee wetu Lowassa?hammjui ana mazuri mengi tu amefanya?inabidi myapime haya na ndio utoe hoja yako. Lowassa ni kiongozi shupavu na atafaa kuiongoza hii nchi ambayo inahitaji kiongozi jasiri.
  7. G

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    kama mtu anakubalika,anakubalika tu jamani,lowassa ni chaguo la wengi!
  8. G

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    kanisa kama kanisa litabaki kuwa takatifu,ila baadhi ya watumishi wa kanisa ndio wanaolichafua kanisa
Back
Top Bottom