Recent content by gloryie

  1. G

    Anataka awe nyumba ndogo yangu; nifanyeje?

    Nadhani huu ujumbe umejitosheleza,hivyo ushauri umeupata wa kukutosha Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  2. G

    ZIFAHAMU SEHEMU KUU 8 ZENYE MSISIMKO wakati wa MAUJANJAAAA

    New lesson!!! Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  3. G

    Nimerekodiwa video ya ngono bila kujijua. Nifanyeje?

    Hii iko vizuri zaidi na itakuepusha siku nyingine Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  4. G

    Men are so complicated, so confusing...

    That's true my dia, we so confused,we don't knw what we can do to our men in this digital life,everything change to what you expect. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  5. G

    Mwanaume wa jinsi hii anafaa kuwa husband

    Ushauri wangu,usimwache wala usimpe papuchi,vuta muda msome kwanza,labda kama yeye akiamua kuingia mtini ndo utajua yupo vp na lengo lake Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  6. G

    Matapeli mtandaoni! Soma hapa na ww usije ukaingia mkenge...

    Kamata mwizi meeeeeeennnn!!!whatch out Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  7. G

    Nimfanyeje mwanamke huyu?

    Pole sana mkuu,Songa mbele ndo mpango mzima uliobaki,mwombe Mungu akutie nguvu Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  8. G

    nifumbueni tafadhali.

    Hapo bwana yake hasomeki ndo maana,we chukua mtoto,anashindwa tu kukuambia ukweli uliopo Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  9. G

    nahtaji ushahuri

    Kama yeye anakataa fanya mpango behind his back mwombe huyo dada mkutane mzungumze kama wanawake akwambie ukweli na wewe umwambie ukweli then utajua nan anadanganywa na nan anaambiwa ukweli Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  10. G

    Ana nia gani na mimi?

    Kashukuru kukataliwa kwa kweli,hakupendi hata kidogo Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  11. G

    Naombeni msinilaumu kwa uamuzi niliouchukua kwa mume wangu

    Take a breath,vumilia mwombe Mwenyezi Mungu akutie nguvu ili uweze kusonga mbele kuwalea watoto wenu na pia umwombee mumeo Mungu atambadilisha na atakua kama mwanzo. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  12. G

    Naombeni msinilaumu kwa uamuzi niliouchukua kwa mume wangu

    We komaa tu,maliza chuo chako kwanza,ila uhakikishe unafanyiwa na maendeleo mengine kama kujengewa,kufunguliwa biashara,then through out utapata mumewe then unakaa nae unamweleza ukweli unaanzisha famalia yako,ila whatch out!!! Ukipata tu mtoto nae tayari utakua nyumba ndogo no way out Sent...
  13. G

    Mapenzi ya Siku Hizi ya Kikauzu Kweli Kweli Kama Una Roho Nyepesi You Might Not Get Any!!!!!!!!!

    Kwani bila kumpa mwanaume na kakupenda hawezi kukuoa??? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  14. G

    Mrisho nyuma!

    Dah!hii kali 5 yrs???utakua umemuundia tume ya uchunguzi au???hii nimeipenda Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  15. G

    Je mwanamke kutoka nyumbani na kwenda kupanga mtaani ni sahihi?

    Mm naona ni sahihi,kwa sababu kama kamaliza chuo na kapata kazi mkoani au hapa hapa mjini na wazazi wake wako mkoa mwingine asipange???? Na je atakaa kwa wazazi wake mpaka lini???na asipopata wa kumuoa je???azekeee kwao ili hali ana uwezo wakujitegemea??? Pia kuna wengine hawana mpango wa...
Back
Top Bottom