Hahah..kama kukosa tukose wote sio! may be... Asnam my dia, heri kuwa single tu ama kama unao moyo huo basi vumilia...
Wadada mna kazi kweli, huwa wakati mwingine mnatung'ang'ania kama vile tumezaliwa pamoja.
Nimeshakuonesha kuwa sikuhitaji kwa kuanza kutoka na mtu mwingine, bado tu huelewi...
Unataka hadi tuwekane vikao, hivi haujui kuwa ninajaribu kukustahi nisije kukutosa mbele ya mpenzi wangu mpya ukaumia moyo zaidi...
aaah huu ni uzandiki, hivi kizazi hiki tumeshindwa kabisa kutulizana na kuaminiana kiasi hicho,unaangalia upande mmoja wa shilingi my dia ukikaa single it means hadi unazeeka utakuwa single if not utaingiaje kwenye ndoa kama hujamuandaa mwenza wako,au tuanzishe maduka ya kununua me/ke pale unapohitaji unaenda kuchagua unaemtaka.
nimegundua mpenzi wangu anamahusiano na msichana mwingine, nilipomuuliza akadai ni kweli but wameshaachana kwa sasa, kumuuliz huyo msichana wake kaniambia bado wako wote na wanampango wa kutambulishana mwezi wa sita. cha kushangaa nikiongea na mchumba anaomba msaamaa na kudai alikosea na kupitiwa kutoka na huyo mdada but mimi ndo chaguo lake. nikimwabia kama ni kweli basi tukutane wote watatu na huyo dada ili aongea ili kupata uhakika zaidi na madai yake bt anakataa na kudai co picha nzuri na pia nicwaambie marafiki zangu kwanza... mimi simwamini tena naogopa kumsamehe coz atanihumiza zaidi... jamani bhandugu je uhamuzi niliochukua ni sahihi..?
Huo ni ujumbe mahsusi kwani umenena yote mama...so if"she don't get it..she don't get it"
Wadada mna kazi kweli, huwa wakati mwingine mnatung'ang'ania kama vile tumezaliwa pamoja.
Nimeshakuonesha kuwa sikuhitaji kwa kuanza kutoka na mtu mwingine, bado tu huelewi...
Unataka hadi tuwekane vikao, hivi haujui kuwa ninajaribu kukustahi nisije kukutosa mbele ya mpenzi wangu mpya ukaumia moyo zaidi...