Recent content by GK-Shayo

  1. G

    Msiogope CCM haiwezi kushinda wala haitashinda 2015, CCM imeshafutika

    Kwa hali iliyopo ya kisiasa nchini chama cha mapinduzi kikishinda itakua muujiza. Hii imedhihirika katika kaulimbiu wanazotoa viongozi wastaafu za kuwatukana maskini na wanyonge na hali ya compaining team kushindwa kujielewa kucopy slogan na brand wanazotumia wapinzani. Sio kawaida kwa chama...
  2. G

    Pata used suzuki carry for 4 million only: Inafanya kazi Pugu

    Kwa wote wanaopenda wawasiliane nami kupitia 0714 592621 hakuna dalali katikati. angalia picha zake za hivi karibuni. first come first saved. Inafanya kazi Dar es salaam maeneo ya pugu. karibuni wadau
  3. G

    Nani anajali vifo vya wanafunzi hawa??

    Nani anajali vifo vya wanafunzi hawa? Ni wanafunzi walioongoza maandamano ya kudai haki ya kupata mafunzo kwa vitendo, uhuru wa maoni vyuo vikuu na mikopo ya kujikimu na ada kwa ajili ya masomo yao. Mwaka 2011 na 2012 wimbi kubwa la wanafunzi wenye taaluma mbalimbali hususan za uhasibu...
  4. G

    Kiwanja kinauzwa, bei maelewano

    kama kinavyoonekana kwenye picha kutoka nguzo mpaka barabara gari lilipo, kimepimwa na kipo hatua za mwisho kupata hati kina eneo la ukubwa wa 744m kipo eneo la Ulongoni Gongo la mboto bei ni maelewano. kwa mawasiliano zaidi call 0714 592621 hakuna dalali
  5. G

    Msaada jamani: Shopping Amazon

    unaweza kununua lakini ukitaka uvipate tena kwa discount nzuri kuwa mwanachama wa hii site Welcome to SiteTalk - Log in or sign up ukinunua utapata punguzo kubwa kaka.
  6. G

    MKURABITA: Wasomi Kutoka Kimaisha Si Lazima Uwe Mchuuzi... Njia za Kisomi Ni Kama Hizi!

    well said, congrats, kweli hatuwezi endelea kwa kulalamika we have to take a course of action so as the result to happen! people must change their thinking to change their lives!!
  7. G

    Ni maandamano

    Alizungumza waziri Emanuel Nchimbi Bungeni.
  8. G

    Ni maandamano

    Maandamano: Mapendekezo ya serikali kutaka kuleta sheria ya kuzuia maandamano kutaligharimu taifa kama sio leo ni kesho au kama sio kesho ni keshokutwa. Maandamano ni namna ya watu kuelezea hisia zao zinaweza kuwa furaha au huzuni, mathalani ikiwa ni hisia za huzuni, chuki na hasira...
  9. G

    Kubadili matokeo IV 2012: Prof. Mukandala aivimbia serikali!

    Kawambwa na Mulugo wanamatatizo sana, yakibadilishwa bora wakamatwe na kupelekwa rumande, ni wanafunzi wangapi wamejiua kwa matokeo hayo? napata shida kuelewa uwezo mdogo walionao viongozi hawa na kupewa nyadhifa nzito walizonazo!
  10. G

    Naibu Waziri Mulugo naye aingia matatani: Wanafunzi waliofukuzwa wachachamaa

    binafsi ninamashaka na uwezo wa utendaji wake, maamuzi ya wizara hii yamekua ni ya shortcut, wakigoma fukuza, wakifeli futa mitihani then waongezewe marks, mitihani itungwe ya kufaulisha wasiojua kusoma wala kuandika (jamaa no sweat wapite 2) hii nchi inakwenda wapi?wanaipeleka waapi???
  11. G

    Naibu Waziri Mulugo naye aingia matatani: Wanafunzi waliofukuzwa wachachamaa

    *Wanafunzi waliofukuzwa wachachamaa WAKATI Watanzania wengi wakimtaka Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa kujiuzulu kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha nne ya 2012 Naibu Waziri Philipo Mulugo ameingia kwemye kashfa kwa kudaiwa kutoa taarifa ya uongo bungeni...
Back
Top Bottom