[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza kurudi bongo kwa mapenzi yako, Uhamiaji wakakuambia uwapelekee cheti cha kuzaliwa cha babu yako na bibi yako ,
Kwa kweli NYUMBANI NI POPOTE , huku bongo muda wowote wanaweza wakahoji uraia wako japo kuwa wewe ni Mtanzania
Kwa kweli serikali inajitahidi sana kulinda afya za wananchi wake, big up sana Kwa serikali yetu,
Lakini tafiti zilizofanywa kwa muda mfupi zinaonyesha kwamba chanjo hiyo ya saratani ya mlango wa kizazi inamadhara yafuatayo;
1) Kupoteza fahamu na kifafa
2) Kizunguzungu, kutetemeka,kujisikia...
Dah umeuliza swali la msingi sana, na kisa ulichokitoa kina mafundisho ndani yake kwa siye wanaume,
Kimsingi kwangu mimi kumchagua mke mwema wa kuoa naangalia vigezo vifuatavyo;
1) Mwanamke mwenye mapenzi ya kweli.
Lengo kubwa la mwanaume kuoa ni kutaka kupata mapenzi ya kweli kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.