Sio rahisi ivyo kama unavyofikilia..na Sheria za kubadili visitor visa kua ya kaz zinawabana sna. Unaweza ukajikuta ad mda wa visa yako unaisha bado mambo ni ngumu
Apa kwetu bongo haina miaka mingi sana ,nadhani miaka ya 2021 ndo ilianza kwa chuo kama Arusha tech ATC, na DMI (kwa kumbukumbu zangu) japo diploma yake ilianzaga nyuma kidogo na MUST ndo wanatoa. Baada ya apo nmeona udsm Nao wanatoa maana walikua wametangaza nafasi za assistant lecturers kwenye...
Kuondoka kambini ni mbaka pale utakapo somwa unfit. Nikikumbuka experience ya 2021. So ukiliport pale wanakutem kama mzalendo kwa kipindi chote mnapo subir maelekezo toka kwa wakubwa.
Bro kama huna ulijualo uliza utaelekezwa, asa form six anakua anaujuz gan?, kunawakat jeshi linahitaji watu wenye ujuz na ndio Maana wanavyofanya ivo. Ukitaka detail za iyo intaak nitakujuza
Hawana formula maalum hawa, nakumbuka 2021 walitaka watu wenye elimu so walipita mavyuoni...walivyoanza piga simu ad wkend walikua wanapiga,, na kunawakat walikua wanatumia hadi simu za kawaida, kwaiyo kama ume apply this time usipuuzie siimu eote kipindi hiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.