Jamii ndio inaamini hivo lakini si vema wamama kujaza sumu kwa watoto wakina baba wanafanya kazi nyingi sana wanabeba mizigo mingi ya familia na hawaonekani kwa kua most of them wanafanya mambo behind the scene anaeonekana anatekeleza kwa watoto ni mama lakini baba zetu wengi hawaongei ila...
Habari wadau
Kuna mdogo angu anapangisha nyumba ya vyumba vitatu vya kulala,sebule kubwa,choo cha public na master, dining na jiko.Nyumba inajitegemea iko peke yake iko goba center karibu na barabara ameshalipa kodi ya miezi sita imebaki miezi mitano amehamishwa kikazi mkoani.Anatafuta mtu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.