Humu ndani mnanifurahisha sana, watu hawajui kwa kuna kitu kinaitwa ikolojia, viumbe hai tunaishi kwa kutegemeana.
Waliokuwa na furaha Mtumishi kufutia Posho namsikitikia sana kwasababu hajui implication ya kufutwa posho kwa watumishi, let wait and see.
hakuna upimaji unaofanyika bila town plan kwasababu TP ndo muongozo ambao unampatia surveyor njia za kupita wakati wa upimaji, sasa kama TP hamna katika eneo husika basi inabidi wataalamu wa mipango miji waandae mchoro kisha upata approval kutoka wizarani kisha kazi ya kupima ndo ianze.
hakuna muda specific ndugu meja but kitu ambacho naweza kusema nikiwa kama mpimaji nitahakikisha utaratibu wote wa kupata haki yako unakamilika kwa wakati.
hapana, nimesema kwa ekari moja tu lakini kama una ekari kumi basi inategemea na idadi ya beacons, umbali, ugumu wa kazi yaani namaanisha kwamba kama shamba lina vichaka na misitu mingi upimaji wake unakuwa mgumu sana na wataratibu mno hivyo haya ni baadhi ya mambo ambayo yanapelekea gharama...
kamandakazi amekupatia majibu mazuri sana, ni kweli ni lazima survor aende site ingekuwa hivyo usemavyo basi kulikuwa hakuna haja ya wataalamu kukaa kusoma miaka mine chuo. lakini pia hizi kazi ieleweke kuwa ni kazi za kitaalama sio ujanja ujanja tu.
hizo ni gharama za upimaji tu kama jinsi nilivyoziainisha hapa juu, hapo hakuna ujanja ujanja hzo ni gharama ambazo nimezifanya kwa kuzingatia vigezo muhimu pamoja na muongozo wa wizara lakini pia kuhusu usafiri kama unao itakuwa bora kwako kwasabababu gharama zinapungua.na kuhusu town plan huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.