Nikisoma mgogoro wa Iran na US mwaka 1953 na CV ya huyu mzee naona Sera za Marekani zinazolalamikiwa zilianza kabla yake, atakuwa amechangia kusimamia au kujazia palipopungua.
Unaenda kunegotiate issues na ujumbe ambao hawajajiweka wazi kama unafanana nao au wao ni la saba? Then unababaika babaika tu, wao wanatazamana usoni,unajisikiaje hapo? Kuna mtu yalimkuta.
Sijui kwa Nini 10 countries inapendwa sana katika listings nyingi,kama hii list ingekuwa na ranking basi Bhutan isingekuwemo,maana sababu zinazidiwa na na zingine kama Seychelles, Malta na wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.