habarini wakuu , mm ni mtumishi na nifanikiwa kukopa benki sasa nalikuwa nahhtaji kuongezea mkopo ,, mwenye uelewa kuhusu loan top up anijuze
natanguliza shukurani
habar za mapumziko ya wikendi bandgu,,, napenda kujuzwa kwa watumishi wa serikali waliowahi mkopa crdb siku za karbuni inachukua hadi siku ngapi hadi kuwekewa mkopo tokea siku nmemamalza process zote ,, maana kwa upande wangu nmeomba tawi la hapa mwanza lakin wiki ya pili inaisha sijawekewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.