Recent content by GINGA

  1. G

    Ajali: Mabasi ya Ngorika na RATCO yamegongana uso kwa uso na kusababisha vifo

    Kama kawaida traffic njooni na sheria mpya tena ndicho mnachosubiri!!
  2. G

    Risasi zinazopigwa juu zinaishia wapi?

    Huwa zinarudi na ni hatari mno ikimdondokea binadamu kichwani waweza poteza maisha! Hivyo haishauriwi kupiga risasi juu hasa Kama kuna watu wengi! Jeshi huwa wanapiga blanks na sio risasi za moto wakiwa kwenye parade za maazishi nk!
  3. G

    John Mnyika na Salim Mwalim kutikisa miji ya Makambako, Njombe

    Wewe Tweve nguvu ya kuhamasisha umeitoa wapi na angali una kichwa cha nyoka hata kutenga kikombe huwezi
  4. G

    Ikiwa unataka kuolewa haraka fanya yafuatayo

    Formula unaitengeneza mwenyewe na kuitumia tangu siku ya kwanza
  5. G

    Ikiwa unataka kuolewa haraka fanya yafuatayo

    "If u want to become a president you first have to behave and pose like a president then go down to look for votes" huu ni ushauri kwa pande zote mbili!!!usikimbilie kuolewa au kuoa kabla hujajifunza kupose,nguo ndefu notwithstanding!! Tuulizeni tuliofika jehanamu ya ndoa na kurudi ujue...
  6. G

    Wanaume wenye hela ni kila kitu japo muda mwingine inawagharimu

    Money is not everything but it's a thing!
  7. G

    Nyalandu amtimua Mkurugenzi Idara ya Wanyamapori

    Naona majangili 40 wangetajwa kwanza then ije hii ya kinafiki!!
  8. G

    Kirefu na maaana ya LLB

    Na yote ni katika ile mitiririko ya Queens Bench,Kings Bench and the Likes!!!
  9. G

    Kirefu na maaana ya LLB

    The "Lords of the Last Bench"na usidoubt bro ndio kirefu chake!!!
  10. G

    Kirefu na maaana ya LLB

    Lords of the Last Bench!!!
  11. G

    CHADEMA ni kiwewe, husda au kutojua?

    Sema tena hiyo!!
  12. G

    CHADEMA ni kiwewe, husda au kutojua?

    Well said
  13. G

    Je! ni kweli JK aliwahi kusema wenye mbio za Urais luksa kujipitisha?

    Twijuke:You can say that again::: JK alianza kujijenga 10 yrs na akasaidiwa na EL.Mie leo nataka kumsikia JK akisema lolote kuhusu EL!! Jamani,huyu Ndugu amesema "SIMAMA UHESABIWE" Tunaanza keleleeeeeeeeee Nimegusa tu!!
  14. G

    Tafakuri juu ya Jambo ambalo wengi hawapendi kulitafakari na wasingependa litafakariwe!

    Naomba niguse kwa wepesi No.3: -Huoni kwamba nia na madhumuni ya kada huyu ni kuwaonyesha watanzania kuwa wasitegemee jipya saaana na kwamba ni wale wale kama wale wale - Kwamba hata vijisenti kidooogo wanagawana na huruma ya kujenga visima haipo???Hivyo hakuna mtu mwenye nia dhati ya...
Back
Top Bottom