Recent content by gimmy's

  1. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa ufugaji wa nguruwe.

    Mtafute malafyale ni member humu jf,huyu ameandika kitabu kinaitwa ufugaji wa nguruwe wenye tija kitakusaidia
  2. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Nimetenga 3m inisaidie kujiunga na jeshi la polisi Tanzania

    Umenikumbusha mbali sana, Marehemu mzee wetu aliacha laana kwa mtoto wake yeyote atakae jiunga na jeshi la polisi. Sisi kama familia kwa maagizo ya marehemu mzee polisi ni kazi ya laana.
  3. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Tezi dume

    Uko wapi?
  4. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Kwa kutotoa press ama kauli yeyote mpaka sasa kwa issue ya makamo kujiudhuru ni ishara kwamba mkuu wa nchi atakua anaupima upepo.

    Tangu mh Nchimbi ajiudhuru mpaka sasa ni takribani siku ya nne lakini hakuna kauli yoyote ya mkuu wa nchi. Kwa namna ya ukubwa wa jambo lenyewe ilipaswa mpaka sasa nchi iwe imesikia kauli yoyote kutoka kwa raisi lakini yuko kimya. Kimkakati ni kama anaupima upepo kusikilizia yanayoendelea...
  5. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Siti ya kati kabisa
  6. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Ukilinganisha na zamani Chadema ya sasa imesahau kuwekeza kwa vijana vinginevyo kwa CCM ya sasa hata kama waibe kura bado CCM wangeondoka madarakani

    Hata kama iwaje kuwa mwanachama ambae huna mawazo tofauti na wengine na kama ukiwa nayo basi ni tatizo,huo sasa ndio u CCM wenyewe, Ni ujinga kuamini kwamba CDM imekamilika haihitaji ushauri, Hata hivyo kwa matusi yako itoshe kusema kwamba ni rahisi mtu yeyote kufahamu kwamba wewe ni mtu wa...
  7. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Ukilinganisha na zamani Chadema ya sasa imesahau kuwekeza kwa vijana vinginevyo kwa CCM ya sasa hata kama waibe kura bado CCM wangeondoka madarakani

    Kwa uwezo wa akili yako ulivyo ndio maana unaishia matusi, Kilichotolewa ni ushauri na si malalamiko, CDM inaongozwa na watu na si malaika
  8. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Ukilinganisha na zamani Chadema ya sasa imesahau kuwekeza kwa vijana vinginevyo kwa CCM ya sasa hata kama waibe kura bado CCM wangeondoka madarakani

    Mbona husemi chochote kwa mfano wa Mbowe kung'ang'ania madarakani, Nimeeleza kuhusu mfano wa mgogoro wa kugombania nafasi ya uongozi kati ya msigwa na Sugu mpaka Msigwa akahama chama,hili linahusiana vp na utekaji? Mimi nakubali hali ya kisiasa kwa upande wa upinzani si nzuri lakini pia...
  9. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Ukilinganisha na zamani Chadema ya sasa imesahau kuwekeza kwa vijana vinginevyo kwa CCM ya sasa hata kama waibe kura bado CCM wangeondoka madarakani

    Lengo langu ni jema sana,na sina chakurekebisha kwenye kauli zangu, Nguvu ya uwekezaji BAVICHA ukilinganisha na zamani bado haitoshi, Wewe tizama Mbowe ilivyokua ngumu kutoka kwenye kiti cha mwenyekiti,ukitizama vizuri utaona mbowe ametoka lakini hajaridhika kwa sasa yupo kama hayupo, Tizama...
  10. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Ukilinganisha na zamani Chadema ya sasa imesahau kuwekeza kwa vijana vinginevyo kwa CCM ya sasa hata kama waibe kura bado CCM wangeondoka madarakani

    Huu ni ushauri wa bure kwa Chadema ya kwamba warudi chini kwa vijana waweke nguvu kama zamani. Bavicha ya leo imechoka na haisikiki kabisa jambo ambalo linapoteza matumaini kwenye siasa za vyama vingi nchini. Zamani kule vyuo vikuu CDM walijitahidi sana kuchukua vijana na kuanza kuwalea...
  11. gimmy's

    JamiiForums Tanzania “Wanaume Wenye Umri wa Miaka 40 na Kuendelea: Kwanini Unapaswa Kuwa na Chai ya Majani ya Mstafeli, Mpera na Mronge Kwenye Meza Yako Kila Siku”

    google kwanza uone tafiti nyingi zilizofanywa za moringa tree na uone faida kwenye mwili na maajabu ya huu mmea kabla ya kukosoa, Thnx!
  12. gimmy's

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Empty containers 20ft & 40ft are available

    Subscribe
  13. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Afande awapa makavu wazazi: Maadili ya watoto wa Mlandizi yameporomoka sana chanzo nyie "mnacheza uchi mbele ya watoto"

    Narudia, Sina lengo la kushindana kwa hoja, Pia sipingi kwamba pwani kuna tatizo la maadili, Ila ninachosema issue ya mmomonyoko wa maadili ni janga si la pwani pekeyake hili jambo ni tatizo la nchi nzima.
Back
Top Bottom