Umenikumbusha mbali sana,
Marehemu mzee wetu aliacha laana kwa mtoto wake yeyote atakae jiunga na jeshi la polisi.
Sisi kama familia kwa maagizo ya marehemu mzee polisi ni kazi ya laana.
Tangu mh Nchimbi ajiudhuru mpaka sasa ni takribani siku ya nne lakini hakuna kauli yoyote ya mkuu wa nchi.
Kwa namna ya ukubwa wa jambo lenyewe ilipaswa mpaka sasa nchi iwe imesikia kauli yoyote kutoka kwa raisi lakini yuko kimya.
Kimkakati ni kama anaupima upepo kusikilizia yanayoendelea...
Hata kama iwaje kuwa mwanachama ambae huna mawazo tofauti na wengine na kama ukiwa nayo basi ni tatizo,huo sasa ndio u CCM wenyewe,
Ni ujinga kuamini kwamba CDM imekamilika haihitaji ushauri,
Hata hivyo kwa matusi yako itoshe kusema kwamba ni rahisi mtu yeyote kufahamu kwamba wewe ni mtu wa...
Mbona husemi chochote kwa mfano wa Mbowe kung'ang'ania madarakani,
Nimeeleza kuhusu mfano wa mgogoro wa kugombania nafasi ya uongozi kati ya msigwa na Sugu mpaka Msigwa akahama chama,hili linahusiana vp na utekaji?
Mimi nakubali hali ya kisiasa kwa upande wa upinzani si nzuri lakini pia...
Lengo langu ni jema sana,na sina chakurekebisha kwenye kauli zangu,
Nguvu ya uwekezaji BAVICHA ukilinganisha na zamani bado haitoshi,
Wewe tizama Mbowe ilivyokua ngumu kutoka kwenye kiti cha mwenyekiti,ukitizama vizuri utaona mbowe ametoka lakini hajaridhika kwa sasa yupo kama hayupo,
Tizama...
Huu ni ushauri wa bure kwa Chadema ya kwamba warudi chini kwa vijana waweke nguvu kama zamani.
Bavicha ya leo imechoka na haisikiki kabisa jambo ambalo linapoteza matumaini kwenye siasa za vyama vingi nchini.
Zamani kule vyuo vikuu CDM walijitahidi sana kuchukua vijana na kuanza kuwalea...
Narudia,
Sina lengo la kushindana kwa hoja,
Pia sipingi kwamba pwani kuna tatizo la maadili,
Ila ninachosema issue ya mmomonyoko wa maadili ni janga si la pwani pekeyake hili jambo ni tatizo la nchi nzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.