Ninachokifahamu,
Haya makato Tanesco hawahusiki,
Hii ni kodi ya majengo ambayo serikali wameona njia rahisi wao kuikusanya ni kupitia manunuzi ya umeme ambayo kwa kila mwezi ukinunua umeme wanakata 1500,
Kinachotokea kwa wateja wapya hua wanaanza kuhesabu na kujumlisha hizi 1500 kuanzia mwezi...
Ndugu zangu vita inayoendelea Irani imesababisha upandaji wa bei ya nishati kitu ambacho kimesababisha mfumuko wa bei kwenye bidhaa karibu zote,kwenye uchumi gharama za nishati/mafuta/gas zikipanda lazima bei ya bidhaa ipande.
Kwasasa hali ya maisha kwa upande wa wafanyakazi imekua mbaya zaidi...
Vita ya marekani na Irani imepelekea bei za mafuta kupanda duniani,
Kupanda kwa mafuta kumesabisha kupanda kwa nauli kwenye kila aina ya usafirishaji kitu ambacho kimesababisha ukali wa maisha.
Usafiri kama bodaboda kwa sasa nauli zimepanda mara mbili ama zaidi ya mara mbili,
Bidhaa nyingine...
Mmesahau baada ya kuwaambia mapadre wanapokemea maovu kwa viongozi wa serikali kwamba wanachanganya dini na siasa,
Lakini nyinyi mnataka mpewe nafasi yakuongea kwenye hadhara kwenye mambo ya kanisa!
Serikali isipojirekebisha haya hayaepukiki!
Sijawahi ona pm eti anaongea mipasho kwenye media...
Nchi ipo kwenye Janga gani?Ukiangalia sababu hizi za ujenzi wa miundombinu zinazotolewa hazina uhusiano na majanga.
Hii nchi ipo kwenye Hali ngumu ila kuna jambo linafichwa.
Serikali watambue raia wanaowaongoza nao ni wasomi pia,
Kwa inavyoonekana sasa nchi inauhaba wa pesa zakigeni haya mengine...
Kwa bahati mbaya chalamila hajui miongoni mwetu wapo ndani ya TANESCO,
Nina ndugu yangu wa karibu ni mtumishi wa shirika,
Ilishawahi toka amri eti umeme uzimwe kisa upinzani walikua na mkutano,
Mambo haya yapo na yanafanyika sana,
Kama yeye hajui better akae kimya!
Kumbuka hata wewe hauko salama,huu utawala umekuwa kama mbwa mwitu,Kuna kipindi wanakulana wenyewe kwa wenyewe,
Watu wasio na hatia wanauwawa kiholela wewe unaletaje siasa?
Mwisho kabisa ukisikia TEC wanaonya jambo kaa kimya TEC imesheheni watu wenye weledi wa hali ya juu!
Kuna usemi uliozoeleka na wengi ya kwamba damu ya mtu haiendi bure,
Ukiitizama Kwa makini utagundua Kuna namna fulani mama amepatwa na mfadhaiko Kwa yaliotokea,ameshaanza kutoa kauli zakujichanganya.
Huyu ndiye amiri jeshi mkuu,kama kauli yeke tu kwa DPP imetosha kuachiliwa huru Kwa vijana...
Ilikua sera kwangu,mimi si muajiriwa,ila nilikua na kauli mbiu tangu nikiwa kwenye 20's yrs ya kwamba nataka nistaafu mapema,niishi maisha ya uzee.
Nashukuru MUNGU nimeanza kuishi maisha haya nikiwa na miaka 30's,hivi Sasa nina umri wa miaka 39.
Ninaishi shambani kwenye eneo lenye hekari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.