Recent content by gimmy's

  1. gimmy's

    JamiiForums Tanzania KERO KIGOMA tunalipia Mita mpya ya Umeme inapounganishwa tunakutana na deni, TANESCO hii ni sawa

    Ninachokifahamu, Haya makato Tanesco hawahusiki, Hii ni kodi ya majengo ambayo serikali wameona njia rahisi wao kuikusanya ni kupitia manunuzi ya umeme ambayo kwa kila mwezi ukinunua umeme wanakata 1500, Kinachotokea kwa wateja wapya hua wanaanza kuhesabu na kujumlisha hizi 1500 kuanzia mwezi...
  2. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Ni ipi kazi ya vyama vya wafanyakazi, kama kwa mfumuko wa bei hivi sasa hakuna chama chochote kimetoa kauli kutetea maboresho ya mishahara?

    Kwenye utawala wa Jakaya namkumbuka kiongozi mmoja wa chama cha wafanyakazi nafikiri aliitwa Mgaya yule jamaa alimnyima usingizi Jakaya
  3. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Ni ipi kazi ya vyama vya wafanyakazi, kama kwa mfumuko wa bei hivi sasa hakuna chama chochote kimetoa kauli kutetea maboresho ya mishahara?

    Ndugu zangu vita inayoendelea Irani imesababisha upandaji wa bei ya nishati kitu ambacho kimesababisha mfumuko wa bei kwenye bidhaa karibu zote,kwenye uchumi gharama za nishati/mafuta/gas zikipanda lazima bei ya bidhaa ipande. Kwasasa hali ya maisha kwa upande wa wafanyakazi imekua mbaya zaidi...
  4. gimmy's

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali inasubiri nini kuondoa kodi ama kuweka ruzuku kwenye mafuta ili kupunguza ukali wa maisha?

    Tatizo la mama,mchumi pekee anaemuelewa duniani ni mwigulu ,hapa ndipo tatizo lilipo
  5. gimmy's

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali inasubiri nini kuondoa kodi ama kuweka ruzuku kwenye mafuta ili kupunguza ukali wa maisha?

    Vita ya marekani na Irani imepelekea bei za mafuta kupanda duniani, Kupanda kwa mafuta kumesabisha kupanda kwa nauli kwenye kila aina ya usafirishaji kitu ambacho kimesababisha ukali wa maisha. Usafiri kama bodaboda kwa sasa nauli zimepanda mara mbili ama zaidi ya mara mbili, Bidhaa nyingine...
  6. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Mmesahau baada ya kuwaambia mapadre wanapokemea maovu kwa viongozi wa serikali kwamba wanachanganya dini na siasa, Lakini nyinyi mnataka mpewe nafasi yakuongea kwenye hadhara kwenye mambo ya kanisa! Serikali isipojirekebisha haya hayaepukiki! Sijawahi ona pm eti anaongea mipasho kwenye media...
  7. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Nchi ipo kwenye Janga gani?Ukiangalia sababu hizi za ujenzi wa miundombinu zinazotolewa hazina uhusiano na majanga. Hii nchi ipo kwenye Hali ngumu ila kuna jambo linafichwa. Serikali watambue raia wanaowaongoza nao ni wasomi pia, Kwa inavyoonekana sasa nchi inauhaba wa pesa zakigeni haya mengine...
  8. gimmy's

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bashe alikosea kitu gani?

    Alipost kwenye mtandao wa X akikemea utakaji na kuishauri serikali kama mtu amekosea amepelekwe mahakamani
  9. gimmy's

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 RC Chalamila: Tutachukua hatua kwa tuhuma za Padri Kitima, kuhusu TANESCO kuhusika kwenye shambulio dhidi yake

    Kwa bahati mbaya chalamila hajui miongoni mwetu wapo ndani ya TANESCO, Nina ndugu yangu wa karibu ni mtumishi wa shirika, Ilishawahi toka amri eti umeme uzimwe kisa upinzani walikua na mkutano, Mambo haya yapo na yanafanyika sana, Kama yeye hajui better akae kimya!
  10. gimmy's

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Kumbuka hata wewe hauko salama,huu utawala umekuwa kama mbwa mwitu,Kuna kipindi wanakulana wenyewe kwa wenyewe, Watu wasio na hatia wanauwawa kiholela wewe unaletaje siasa? Mwisho kabisa ukisikia TEC wanaonya jambo kaa kimya TEC imesheheni watu wenye weledi wa hali ya juu!
  11. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Inashangaza kuona mkuu anaomboleza vifo vya waandamanaji waliouawa na polisi kwa amri yake mwenyewe

    Usifikiri uko salama,wapo watu waliuawa wakiwa majumbani mwao wala hawakushiriki maandamano
  12. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Inashangaza kuona mkuu anaomboleza vifo vya waandamanaji waliouawa na polisi kwa amri yake mwenyewe

    Kuna usemi uliozoeleka na wengi ya kwamba damu ya mtu haiendi bure, Ukiitizama Kwa makini utagundua Kuna namna fulani mama amepatwa na mfadhaiko Kwa yaliotokea,ameshaanza kutoa kauli zakujichanganya. Huyu ndiye amiri jeshi mkuu,kama kauli yeke tu kwa DPP imetosha kuachiliwa huru Kwa vijana...
  13. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Shamba langu. Bustani ya ndoto zangu

    Ilikua sera kwangu,mimi si muajiriwa,ila nilikua na kauli mbiu tangu nikiwa kwenye 20's yrs ya kwamba nataka nistaafu mapema,niishi maisha ya uzee. Nashukuru MUNGU nimeanza kuishi maisha haya nikiwa na miaka 30's,hivi Sasa nina umri wa miaka 39. Ninaishi shambani kwenye eneo lenye hekari...
  14. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Hizi hapa aina za Embe na Sifa zake

    Subscribe
  15. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    Subscribe
Back
Top Bottom