Naomba mwenye ujuzi na haya mambo.
Naomba kujua madhara pindi mtoto anapoingiza kitu "mf: karanga/harage nk." puan, madhara yake pia ni hatua gani kuifanya kama huduma ya kwanza(fast aid) iwapo vituo vya afya vipombali?
Asubh ya leo Mwanangu kaweka karanga puani, baada ya kuzipokea taarifa...
Kwanza mniwie radhi kwa Title yangu namna nilivyo iweka hapo juu.
Nikwamba mie nina Ndoo na gereni(Mke&kimada) ila nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo, mara kwa mara ninapo lala huota ndoto kuwa nipo nafanya mapenzi na mtu, nikija kushituka asubuh hujikuta chupi imelowa yote shahawa.
Zaman hii...
Nimekuwa nikisikia watu wakisema, kuwa mtu mwenye mimba hasa changa hatakiwi kunywa dawa chungu mf:ALOE VERA,MWAROBAINI nk. yaweza kusababisha mimba kuharibika.
Hii imetokea kwa jirani yangu mkewe alikuwa na mimba ya miez3 ikaharibika, lakin baadae ikaja gundulika kuwa alilamba aloe vera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.