Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
[h=6]Wasichana wawili walikuwa wamekutana peponi! Huku wakiongea..
Warda: wee imekuaje mtoto mzuri hivyo umekuja huku?
Samia: aah acha2 yani nlipigiwa simu kuambiwa mume wangu amekwenda nyumbani na mwanamke nkarudi fasta, kufika nlimkuta sittin room. Nlizunguka kila kona hadi kutandua mashuka sikukuta kitu! Nkapata presha nkafa!
Warda: dah pole sana ungecheki kwenye friji sahivi wote tungekuwa wazima...
Hahhahahahahahahaha amakweliii[/h]
Warda: wee imekuaje mtoto mzuri hivyo umekuja huku?
Samia: aah acha2 yani nlipigiwa simu kuambiwa mume wangu amekwenda nyumbani na mwanamke nkarudi fasta, kufika nlimkuta sittin room. Nlizunguka kila kona hadi kutandua mashuka sikukuta kitu! Nkapata presha nkafa!
Warda: dah pole sana ungecheki kwenye friji sahivi wote tungekuwa wazima...
Hahhahahahahahahaha amakweliii[/h]