software

Khalifab

Member
Jul 6, 2012
38
2
Wakubwa naweza pata software ya kuflash simu aina yeyote??PILI MLANGO WANGU WA COMPUTER YANGU(DESKTOP) UNASUMBUA SANA KUFUNGUKA PAKA NICHOMEKE KIPINI NDO UNAFUNGUKA NAOMBA MSAADA.
 
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
 
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
kama kawa we ni mkali aiseeee , mkali sana
 
hakuna software ya kuflash simu zote!
Ila zipo software za kuflash simu in group (kama samsung, sonyericson, motorola, sharp, lg siemens na baadhi ya nokia) na ni software na hardware zake. Kuna software ya simu za kichina zote ila ipo na hardware zake!! Kwa msaada nipigie 0715266772 maana ninazo hardware na software za plus training utapata.


wakubwa naweza pata software ya kuflash simu aina yeyote??pili mlango wangu wa computer yangu(desktop) unasumbua sana kufunguka paka nichomeke kipini ndo unafunguka naomba msaada.
 
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu

Ushauri mwingi lazima uchoke.
 
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
Kumbe we Mopaozi hizo ndio akili zako?unapoteza muda na pesa yako kwa kuandika huu utumbo,kwa mtu kama wewe kuandika hapa hayo majibu ni MAMBO YA AIBU,UNAHARIBU SIFA ZAKO
 
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu

kuna forum ya comedy humo ndani nafikiri itakufaa na wa2 kama masanja watatamani kufanya kazi mawe. Hapa ni sc. na techno tu.
 
Kwa mawazo ya wachangiaji hapo juu.....I doubt if JF will continue to be 'the home of great thinkers!!!
 
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
Dah!!mawazo na fikra zimeenda likizo zimemuacha jamaa anaweweseka mtaani...ungetulia usubiri fahamu zikurudie maana kwa mwendo huu unaweza kujikuta umeingi chakiume halafu ukashangaa watu wanafanya kazi na wewe zikikurudi watu walishapita siku nyingiiii!!!
 
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu

mwana umenifurahisha kinoma.
Shukuru Mungu humu ndani hatuonani Live kama tungekua tunakutana Live.... Aiseee ungepigwa ngumi.
 
Back
Top Bottom