kama kawa we ni mkali aiseeee , mkali sanaKuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
wakubwa naweza pata software ya kuflash simu aina yeyote??pili mlango wangu wa computer yangu(desktop) unasumbua sana kufunguka paka nichomeke kipini ndo unafunguka naomba msaada.
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
Kumbe we Mopaozi hizo ndio akili zako?unapoteza muda na pesa yako kwa kuandika huu utumbo,kwa mtu kama wewe kuandika hapa hayo majibu ni MAMBO YA AIBU,UNAHARIBU SIFA ZAKOKuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
Dah!!mawazo na fikra zimeenda likizo zimemuacha jamaa anaweweseka mtaani...ungetulia usubiri fahamu zikurudie maana kwa mwendo huu unaweza kujikuta umeingi chakiume halafu ukashangaa watu wanafanya kazi na wewe zikikurudi watu walishapita siku nyingiiii!!!Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu
Kuflash simu easy tafuta choo cha maji na si cha shimo itie humo na uflash kwa maji itapona na kuhusu kufungua kwa pini ni dalili kuwa kuna bolt ama nati imejam so tafuta grisi na oil uweke kulegeza ili ifunguke kwa msaada zaidi piga simu