Recent content by gilaibomba

  1. G

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Kisumo ni kuanzia TANU.Amewahi kuwa Waziri,RC,Chairman board ya TPC,jina lake kamili Peter Abdallah Kisumo
  2. G

    Kama Lowassa ni fisadi, Rais Kikwete tamka hadharani

    Duuuuuhhh...!!!!!!!! Wacheni hiyo mambo.Ni sawa na kutoa jino pasipo sindano ya ganzi
  3. G

    Prof. Safari na Prof. Mkumbo ndani ya EATV usiku huu

    Huyu Bwana pamoja na Amon Mpanju hawako huku wala kule,tuwaombe wawe ni watu wenye kusimamia ukweli.
  4. G

    Siri aliyonayo Moyoni na madhara yake kwa taifa

    To:Faiza Foxy, nakuomba kuwa muungwana kwa kutuomba radhi sisi wachagga kutokana na bandiko lako.Haitakugharimu chochote na siku za usoni ujisikie haya kutukana makabila ya watu.
  5. G

    Gari linahitajika, 4WD, not more than 5 million not less than 4 million

    Kama uko Arusha pita Ngarnaro kuna LandRover Oldmodel iko bomba sana.Jamaa yuko karibu na oysterbay bar...lakini bei yake kama pembe..ni nzuri
  6. G

    Gari linahitajika, 4WD, not more than 5 million not less than 4 million

    Mitsubish GDI 5 doors,Ac,radio with cd white metallic
  7. G

    Tetesi: Marais wastaafu waombwa kumsaidia Magufuli!

    Kama atamfanyia kampeni Magufuli nawaomba watanzania musimzomee Mzee wetu akiwa kwenye Jukwaa kama unaona utashindwa kuvumilia bakia nyumbani.
  8. G

    ACT-Wazalendo wafunika Iringa Mjini. Zitto Ampongeza Filikunjombe, Msigwa bado

    Nauliza nywele bandia zinakuwa ni cosmetics hatarishi au hapana.Napendekeza ziwekwe kama hatarishi kwa wale wenye umri mkubwa ambao wakizivaa wanakuwa very artificial au kama Mwanasesere(kinyago)
  9. G

    Tetesi: Marais wastaafu waombwa kumsaidia Magufuli!

    Ni wazo zuri, lakini wachukuwe tahadhari wasije wakapata yaliyompata Mzee Warioba au akatokea mwendawazimu mwingine kama yule wa pale Diamond Jubilee akawavunjia wazee wetu heshima na wasindikizwe na kauli ya kwamba wamejitakia wenyewe...hawa vijana aina ya DC bado wako.
  10. G

    Magufuli aagiza wanafunzi, wasafiri bure

    Duuuuuhhhh mambo juu ya mambo,ama kweli tunafanywa Mabwege ile mbaya.Hebu nikuombe kama unazo picha za uzinduzi uliofanywa na Mh. Hawa Ghasia tuwekee ili hawa wakubwa wajuwe na sisi tuna akili,siyo wao tu.Au Mh.Rais kapigwa changa la macho...
  11. G

    Mada moto Channel 10: Edward Lowassa ndani ya UKAWA. Polepole amfananisha na malaya...

    Polepole watu walikupenda saana wakati ule wa katiba ambayo mpaka sasa haijulikani iko wapi na hakuna taarifa yake..kama una habari tujulishe.Lakini sasa hivi naona kama unaanza kupoteza upendo waliokupa wananchi.Hebu achana na vyombo vya habari.Hata Amon Mpayo anavyokwenda inawatia wananchi...
  12. G

    Magufuli aagiza wanafunzi wasafiri bure

    Huwenda wakazi wa Kigamboni nao wakapata hiyo nafuu au inaweza tafsirika kuna Double Standard kwa watanzania ambao katiba yao inasema wote ni sawa.Kwa Mh.Magufuli tendo hili linaweza kumkosesha kura za wale wanaotumia vivuko vya serikali huku wanalipia kama kigamboni,pangani nk..nk.Kama...
  13. G

    Jinsi ya kujiondoa katika SMS za CCM unazotumiwa kutoka mtandao wa Vodacom

    Tuko katika dakika za mwisho za kumaliza application itakayotuma sms kwenye mitandao yote ya kuipigia kampeni UKAWA wakati wa kampeni ukianza.Swali ni je watakubali hizo sms zirushwe..?? Tumeona Kova alipiga marufuku kumsindikiza Lowassa na hatujui kama kumtambulisha itaruhusiwa au vipi na kama...
  14. G

    Mgombea wa CCM awapiga mkwara wapiga kura warudishe mali zake kabla kifo hakijafika

    wakatwe tena haraka sana.ccm ni yetu sote na hatutaki ugomvi wala matusi.
Back
Top Bottom