Nyie mbona mmeiba mkajenga kwenu hatusemi?.
Halaf hilo suala mbona ni uongo wa mchana kweupe....mimi niko bungeni nyaraka zote ninazo za bajeti hayo mambo hayapo.
UKAWA wamebaki kutapatapa kuwa mawakala wa mafisadi.
Umesema upo bungeni jina lako nani?
UVCCM naomba maoni yenu kuhusu mchakato wa kuipa Lugumi ile tender. Kwenye mtizamo wenu naomba mchambue gharama halisi za mkandarasi na gharama za mshauri mwelekezi.
Inaonekana wewe uliyeleta agenda hii ni JIPU kwani hizi si zama zile za kufunika mambo mgombea mmoja na kivuli. Tafadhari naomba tafakari na kuzipima hoja zako.
Hakuna jambo linalonikwaza kama la kuishi kinyume na uhalisia unaojaliwa na Mungu. Iko hivi Mungu akikupa akili ya kufanya jambo usipo tumia
hiyo akili kwa kuitendea haki kuna siku akichukia anaichukua kwa sababu haifanyi kama vile alivyo ikusudia ifanye. Kwa hiyo naomba RANGI NYEUPE IBAKI KUWA...
CCM MNAJITENGENEA CHUKINZAIDI KWA UBABE WENU WA KUTOONYESHA BUNGE LIVE. NAKUMBUKA MLISEMA NI GHARAMA KUONYESHA LIVE WAACHENI WENGINE WAONYESHE LIVE LAKN KAMA NI WAFANYAKAZI KUTOFANYA KAZI KWA SABABU YA BAADHI YA STAFF KUANGALIA BUNGE OFISIN KWANINI MSIPIGE MARUFUKU TV MAOFISINI?
CCM MNACHOKIFANYA MADHARA YAKE MTAYAONA MIAKA IJAYO.HATA WALE WACHACHE AMBAO TUNAMFURAHIA JPM TUTAWAGEUKA TU ILI TUWAPIGIE KURA WATAKAO TUNAOFIKIRI WATARUDISHA BUNGE LIVE. FIKIRINI UAMUZI WENNU KWA UPYA.
Kulazimisha jambo ambalo kwa wakati huo halikuwa sahihi mm siafiki mpaka kesho na halifutiki kirahisi. Mheshimiwa JPM naomba uwasaidie Watz kupewa kile wana amani nacho. Barikiwa.
KATIKA HILI KAMA KUNA UNAFIKI WOWOTE AU KUNA JAMBO LINATAKA KUFUNIKWA KWA BUNGE KUTOONYESHWA LIVE NAOMBA WAKUMBUKE BILA MUNGU.HAWAWEZI KUSAFIRI SALAMA NI HESHIMA TOLA.KWA YEHOVA ONAYOWATUNZA LAKN PIA WAKUMBUKE MUNGU HADHIHAKIWI CHOCHOTE APANDACHO MTU NDICHO ATAKACHOVUNA. Ukimdharau Mungu leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.