Recent content by ghumpi05

  1. G

    Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

    Duuh. Kweli tupo wafuasi tusiojua hata nani amepitishwa na nani kakatwa:mod:
  2. G

    Moses Machali ajiondoa NCCR-Mageuzi na Kujiunga ACT-Wazalendo

    Duuuuh! Kaazi kweli kweli. Hapo penye rangi nyekundu ulikosea kuandika au unamaanisha? Au ndio Division % zimeshayagaa??:A S-cry:
  3. G

    Naomba Msaada wa kuspy message za whatsapp

    Mkuu huna kazi za kufanya? Achana na ukoloni wako fikiria mambo ya maendeleo. Chukua muda wako unaoutumia kwenye social issues, then ongeza na muda ambao utakuwa unapekua simu ya mpenzi wako, then utoe kutoka muda ambao ulipaswa ufanye shughuli za maendeleo na kupumzisha akili utabaki na muda...
  4. G

    Dawa tosha kwa wanawake wapenda pesa

    Wanasema pesa ndiyo kila kitu, lakini kama una uchu basi tafuta pesa kiasi za kuhakikisha unamnasa kupitia outings na vinavyofanana na hivyo. Ukishaonja tu, kimbia usigeuke hapo.
Back
Top Bottom