Dawa tosha kwa wanawake wapenda pesa

Dawa tosha kwa wanawake wapenda pesa

dawa ya wanawake wapenda pesa
kivipi?
hvi kuna mtu hapendi ela kweli duniani

kama kuna dawa ya wanawake tafuta na ya wanaume kwa kuwa kila mmoja ni mgonjwa
 
mi nilimpataga demu stationery (anatoa photocopy) nkamtong.oza akaniuliza kazi nikamuambia mi dreva wa STRABAG kuanzia hapo hapokei simu yangu tena.
 
Me napita mbio aisee maana me napenda hela hatari! nkicomment mtazamo wng mleta thread hatonielewa kabisa maana ye hapendi kugharamia.....!
 
Ingawa waanawake wengine wanaweza bila kuangalia pesa ila jitume hela ni muhimu katika maisha.
 
jifanye bahili hivyo hivyo utaishia kununua sabun kwa mang


Wanasema pesa ndiyo kila kitu, lakini kama una uchu basi tafuta pesa kiasi za kuhakikisha unamnasa kupitia outings na vinavyofanana na hivyo. Ukishaonja tu, kimbia usigeuke hapo.
 
kuna mwanamke nilimwambia kuwa nina maisha magumu akanijibu kuwa nimwambie ukweli asije jutia je ipo vipi hapa

Si ungemuuliza yeye.......sisi tutajuaje na hatukuwepo kwenye mazungumzo yenu............
 
wanawake wanamatatizo sana unaweza kumtimizia shida zake lkn siku ukipatwa wew na shida hapo shuhuri omba elfu 5 kimbembe we ukitongaza kula mzigo alafu ndo pesa kama mnauziana tu
 
Back
Top Bottom