Recent content by Ghkman Bomba

  1. G

    CHADEMA yaigalagaza tena CCM

    Roma ilikuwa taifa kubwa lakini ilipoanguka hata waroma wenyewe hawakuamini na hii ndio dalili ya anguko la CCM
  2. G

    Vita sasa ni Mbowe na Slaa

    Gazeti la aina hii linatakiwa litafute waandishi watafiti kwani inaonekana waandishi wake ni wavivu wa kufikiri na kutafuta habari
  3. G

    Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

    huyo ndio Mzee vijisent na nyoka msaka noti hii inamaanisha hata msemeje yeye bado ni jogoo ndani ya ccm na hakuna wakumfanya chochote
  4. G

    Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

    huyo ndio Mzee vijisent na nyoka msaka noti hii inamaanisha hata msemeje yeye bado ni jogoo ndani ya ccm na hakuna wakumfanya chochote
  5. G

    CHADEMA kilianzishwa kwa kufuata mfumo CCM

    Chadema wako juu kwani wamefumua mambo mengi ambayo enzi za chama kimoja hayakuonekana so wako juu japo ni ngumu kukubali ila mwelevu lazima asapoti hiki nachokueleza
  6. G

    Muungano utakuepo kizazi kijacho?

    Kutokana na mjadala uliopo kuhusu rasimu ya katiba mpya kumekuepo na migongano ya kimawazo kutoka katika kada mbalimbali zikijadili muundo wa serikali wengine wakisema tatu,mbili,moja na wengine ya mkataba. Ninacho jiuliza wengi wanaodai serikali tatu walikuepo wakati muungano unaasisiwa na...
Back
Top Bottom