Recent content by Ghamunga

  1. G

    Ijue benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania [TADB]

    Huku kwetu ni mbali sana mtusaidie wakulima
  2. G

    UKAWA watangaza rasmi kususia vikao vyote vya Bunge vilivyobaki kutokana na ukiukwaji wa kanuni

    ​tunawaunga mkono toka hanang na manyara na mbulu
  3. G

    Mkutano wa kuhitimisha Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM mikoani, A. Kinana jijini Mwanza - June 28, 2015

    na tabiri kuwa ccm watampitisha jaji ramadhani,pinda,asha,mwigulu,bilali, kwenye tano bora ni hao
  4. G

    Kwa wana Hanang' iliyoongozwa na Mh Sumaye na sasa Mh Mary Nagu

    hesabu kata ya bassotu linachukuliwa na cdm mgombea wake ni makini sana na ana uwezo mkubwa sana nakupa jina ya romani cypriane mlete wa chama kingine anayeweza kupambana naye na elimu yake ipo juu inatosheleza ni mwalimu amepita vidato na huwezi kumnunua kama wale wengine wanao nunuliwa kwa...
  5. G

    Hivi ziara hizi za Kinana zina tija?

    inawezekana kuwa na tija au isiwe nayo ndani ya chama chake
  6. G

    Updates: Mkutano mkubwa wa Dr. Wilbroad Slaa Tanganyika Packers DSM

    pambane mpate uongozi wa kuikomboa taifa letu sasa
  7. G

    ACT - Wazalendo wafanya mkutano mkubwa Sumbawanga leo jioni

    wanafanyia mikutano yao mijini tu huku vijijini hakuna kitu hata hamasa hakuna kabisa wala hakuna fomu za kugombea hku hanang manyara hakuna
  8. G

    Kutoka Uwanja wa Namfua-Singida: Lazaro Nyalandu atangaza nia ya Kugombea Urais wa Tanzania

    hotuba yake ni kujisifu na kumsifu rais hakueleza akiwa rais atawafanyia nini watanzania je umaskini atauondoa vipi na kuleta uchumi.elimu ataboresha vipi .tanzania ni ya wote hata wapinzani ni yao.bado hotuba yake ni changa saana.kwa urais ni bado sana.
  9. G

    Kinana apata aibu Bukoba mjini baada ya CCM kukataliwa na wana Bukoba

    tupe picha isiwe porojo iwe live
  10. G

    Yaliyojiri Ukumbi wa Hyatt Regency: Frederick Sumaye atangaza nia kugombea Urais

    tulikatiwa umeme hatukuona wala kusikia hotuba yake
  11. G

    Yaliyojiri Ukumbi wa Hyatt Regency: Frederick Sumaye atangaza nia kugombea Urais

    tulikatiwa umeme hatukuona wala kusikia hotuba yake
  12. G

    Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Lipumba akamatwa na wafuasi wake, kisha waachiwa kwa dhamana!

    Haki itendeke na wananchi wapewe elimu.na tuzingatie haki iliyoko kwenye katiba
  13. G

    ziara

    kinana alipofika bassotu kaulizwa swali na mkt wa chadema kuwa mikataba ya mnara wa voda haupo kwa nini.akadai kufichwa na uongozi wa kijiji ambao ni wa chama tawala na katibu akadai hakuna vikao vya kisheria haikufanyika.je ni sahihi kuulizwa
  14. G

    Mwigulu Nchemba, muombe radhi Rais!

    lete mada
Back
Top Bottom