Dada nenda usome elimu ya sekondari kwa miaka miwili yaan kidato cha kwanza had I kile cha NNE na ukimaliza hapo soma kwa mwaka mmoja kidato cha tano na cta ,,,,,,,,baada ya hapo fikiria kwenda chuo
Kwa ninavyofahamu Mimi ni kwamba ili mtu aweze kusajiliwa kufanya mtihani wa kidato cha sita lazma awe na c tatu na kuendelea ktk mchepuo wake ,,,,,,.,,, rejea waraka wa NECTA 2015/2016
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.