Recent content by GFMhillu

  1. GFMhillu

    Elimu yangu darasa la saba, naomba ushauri

    Dada nenda usome elimu ya sekondari kwa miaka miwili yaan kidato cha kwanza had I kile cha NNE na ukimaliza hapo soma kwa mwaka mmoja kidato cha tano na cta ,,,,,,,,baada ya hapo fikiria kwenda chuo
  2. GFMhillu

    Kafaulu kidato cha nne but ni combless

    Kwa ninavyofahamu Mimi ni kwamba ili mtu aweze kusajiliwa kufanya mtihani wa kidato cha sita lazma awe na c tatu na kuendelea ktk mchepuo wake ,,,,,,.,,, rejea waraka wa NECTA 2015/2016
  3. GFMhillu

    Naweza kusoma QT masomo ya science na kuja kuwa doctor

    Kaza buti na Mwombe Mungu inawezekana tyu
Back
Top Bottom