Recent content by GFAZA

  1. GFAZA

    Mjue Dorcas Francis - Mgombea nafasi ya Mwenyekiti BAVICHA Taifa

    Binafsi nimemfuatilia kwa karibu Sana dada DORCAS Ni kijana mwenye elimu, maarifa na uelewa Mpana Sana wa kiuongozi. Hakika anatosha kutuvusha vijana wa chedema na taifa kwa ujumla.
  2. GFAZA

    Uchaguzi wa Katibu Mkuu BAVICHA 2019: Upepo wamwendea vizuri CPA Kitalika Titho

    Ukanda hauna nafasi ndugu... Tumpime kwa uwezo na sifa zake. Tukianza na ukanda kitafuatia dini au kabila...
  3. GFAZA

    Uchaguzi wa Katibu Mkuu BAVICHA 2019: Upepo wamwendea vizuri CPA Kitalika Titho

    CPA Titho kitalika E. Hakika anatosha pasina Shaka kwenye nafasi hiyo aliyoomba. Ni kijana machachari,muadilufu na mpenda chama kwa muda mrefu. Nami naungana na Wote wenye mapenzi mema kumtakia ushindi katika nafasi hiyo ya utendaji.
  4. GFAZA

    Yanayojiri kutoka Arusha kwenye Mkutano Mkuu wa kuchagua Viongozi wa Kanda ya Kaskazini.

    Safi Sana kwa taarifa. Lema anafaa zaidi kuongoza Kanda ya kaskazini
  5. GFAZA

    Kwa BAVICHA imara, kitaasisi n kimkakati: Twende na CPA Kitalika, Titho.E

    Sawa kabisa ndugu... Kwa kuwa kijana amejipambanua kwa CV na hajasema Ni nafasi gani BAVICHA tusubiri muda utaongea... Ila namshauri Sana achukue nafasi ya utendaji wa chama maana hakika itamfaa Sana.
  6. GFAZA

    Kwa BAVICHA imara, kitaasisi n kimkakati: Twende na CPA Kitalika, Titho.E

    Hakika unafaa Sana kijana. Nakumbuka mwaka 2013/14 ulivyoshiriki kikamilifu kuanzisha CHASO Arusha... Nakumbuka Sana ubunifu wako mpaka kuanzisha katiba au muongozo wa uendeshaji taasisi hiyo mhimu katika ukuaji na uandaaji wa viongozi ndani ya chama.... Hakika unatosha Sana japo sijajua nafasi...
  7. GFAZA

    Kuna wengine kwenye picha hii bado wanataka tuwape uongozi!

    Duuuh... Hata Mimi ninashangaa Sana Kama Kuna watu wanadhani vijana au wazee hawafai kuongoza... Na nitashangaa Sana Kama madudu ya Hawa vijana unanaowapigia chapua walivyoharibu na kuendesha nchi kitoto Kama makonda, chalamila ,sabaya n.k ujinga mtupu... Marekani na demokrasia yake rais...
  8. GFAZA

    Wale mliokuwa mnasema Rais Magufuli hajui lugha ya malkia hapo vipi??

    Kusoma na kuongea ni vitu viwili tofauti Sana... Sawa na kutafuniwa halafu umeze then usifiwe unajua kutafuna
  9. GFAZA

    TANZIA : Chadema yapoteza kiongozi shupavu wa BAWACHA

    Rest in eternal peace kamanda
  10. GFAZA

    Baada ya EU, Serikali ya Marekani nayo yaugeukia utawala wa Rais Magufuli

    Sometimes unaandikaga vitu konki....? Ngosha Kula tano Kwa mchango huu...
  11. GFAZA

    Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa

    '' waziri mahiga sawa na nyerere" ? Kivipi mayalla? Nyerere hakuwahi kuruhusu ndoa za jinsia moja katika taifa hili, mahiga juzi tu kutudhihirishia watanzania kuwa ushoga ni ruksa Kwa taarifa ya wizara yake, leo unataka kutuaminisha mahiga ni mzalendo kisa ? Mayalla acha njaa Kama lilivyo jina...
Back
Top Bottom