Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
- Thread starter
- #21
Huu utawala umepigwa kofi na Mungu!
Ukweli wakati wote unajitenga na UWONGO.Mwanzo walikuwa wanasema uchumi unapaa na Tanzania inaongoza kwa uchumi wake kupanda barani Afrika, juzi Dr Mpango amekiri wazi kuwa uchumi wa nchi unaporomoka.
Walikuwa wanakataa serikali haijashitakiwa kwenye mahakama za usuluhishi za kimataifa, leo Dr. Kabudi kasema ni kweli makampuni ya Pangea Mineral Limited na Bulyanhulu Gold Mining yameishitaki serikali.
Kwa trend hii kuna siku serikali itakuja kukiri wazi kuwa inawajua wasiojulikana, inajua waliko Ben na Azory, inawajua waliomteka MO nk.
Wakati ni mwalimu mzuri sana tega sikio.
Muda ndo umefikaMwanzo walikuwa wanasema uchumi unapaa na Tanzania inaongoza kwa uchumi wake kupanda barani Afrika, juzi Dr Mpango amekiri wazi kuwa uchumi wa nchi unaporomoka.
Walikuwa wanakataa serikali haijashitakiwa kwenye mahakama za usuluhishi za kimataifa, leo Dr. Kabudi kasema ni kweli makampuni ya Pangea Mineral Limited na Bulyanhulu Gold Mining yameishitaki serikali.
Kwa trend hii kuna siku serikali itakuja kukiri wazi kuwa inawajua wasiojulikana, inajua waliko Ben na Azory, inawajua waliomteka MO nk.
Wakati ni mwalimu mzuri sana tega sikio.
Tunakoelekea ndiyo kwenyewe wote tutaongea lugha moja mungu ibariki Tanzania na uwalaani wanaoiharibu hii nchiMwanzo walikuwa wanasema uchumi unapaa na Tanzania inaongoza kwa uchumi wake kupanda barani Afrika, juzi Dr Mpango amekiri wazi kuwa uchumi wa nchi unaporomoka.
Walikuwa wanakataa serikali haijashitakiwa kwenye mahakama ya usuluhishi ya kimataifa, leo Dr. Kabudi kasema ni kweli makampuni ya Pangea Mineral Limited na Bulyanhulu Gold Mining yameishitaki serikali.
Kwa trend hii kuna siku serikali itakuja kukiri wazi kuwa inawajua wasiojulikana, inajua waliko Ben na Azory, inawajua waliomteka MO nk.
Wakati ni mwalimu mzuri sana tega sikio.
Wamekazana kuua upinzani Wa kisiasa badala ya kusikiliza mawazo yaoTunakoelekea ndiyo kwenyewe wote tutaongea lugha moja mungu ibariki Tanzania na uwalaani wanaoiharibu hii nchi
Mwanzo walikuwa wanasema uchumi unapaa na Tanzania inaongoza kwa uchumi wake kupanda barani Afrika, juzi Dr Mpango amekiri wazi kuwa uchumi wa nchi unaporomoka.
Walikuwa wanakataa serikali haijashitakiwa kwenye mahakama ya usuluhishi ya kimataifa, leo Dr. Kabudi kasema ni kweli makampuni ya Pangea Mineral Limited na Bulyanhulu Gold Mining yameishitaki serikali.
Kwa trend hii kuna siku serikali itakuja kukiri wazi kuwa inawajua wasiojulikana, inajua waliko Ben na Azory, inawajua waliomteka MO nk.
Wakati ni mwalimu mzuri sana tega sikio.
Lkn kuna siku yanayofanyika gizani yatajulikana.Jambo usililolijua ni sawa na usiku wa giza.
Mwisho wakubali kuwa gari letu linaendeshwa na dereva wa gutaMwanzo walikuwa wanasema uchumi unapaa na Tanzania inaongoza kwa uchumi wake kupanda barani Afrika, juzi Dr Mpango amekiri wazi kuwa uchumi wa nchi unaporomoka.
Walikuwa wanakataa serikali haijashitakiwa kwenye mahakama ya usuluhishi ya kimataifa, leo Dr. Kabudi kasema ni kweli makampuni ya Pangea Mineral Limited na Bulyanhulu Gold Mining yameishitaki serikali.
Kwa trend hii kuna siku serikali itakuja kukiri wazi kuwa inawajua wasiojulikana, inajua waliko Ben na Azory, inawajua waliomteka MO nk.
Wakati ni mwalimu mzuri sana tega sikio.
Pombe si chaiUtawala haramu umewaibua wengi kuja kwenye mitandao ya kijamii...
Hebu tuungane tuliangushe jiwe 2020 ili tuwaachie madaraka wanaojielewa na wanaoelewa uongozi na siasa, waendeshe nchi..
na hii mitandao tuwaachie wanahabari wapashane mawazo jengefu ili wengine turudi kwenye shughuli zetu za uzalishaji ambazo sasahivi pombe kazikwamisha !