ni kweli kbsa, wachawi Wote waliokuwa wanakamatwa Mbeya walifukuzwa na kutupwa pale. Kikaitwa kijiji cha wa chawi. Waulize mafisa Maliasili waliwah kukamata pale mkaa, roli la tani 10. Walishndwa kvuka.
Kama anapakusemea lazima aseme, hajafanya vibaya. Labda wandishi wangemuliza kama tarifa tayari zipo polisi ama vipi. Habari ile sio ya uongo, shida yetu tu wajuaji hata kwa tusiojua .
lakini jamani wandishi fanyeni kazi kuliokoa Taifa lisiwe la mazezeta, sasa ni halali kabisa kumualika kijana aliefail kuja kwa kipindi cha redio? Ni kipi anawausia wenzake? Kweli crouds mnaboa sna,
moto mwenge, jamani hata hivyo pale ni kituo cha daladala vibanda vya biashra vya nini? Ulaji wa watu wachahe wasababisha kituo cha daladala kuwa soko, moto huo uwafunze jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.