TCRA no wanafiki wakubwa, watu walitukana kukufuru kifo cha JPM na hayo matusi yapo humu hadi leo, mbona hawakuchukua hatua!? Watuachie jf yetu maana mdio sehemu pekee inatusaidia kuondoa stress
Nguvu zote wanazotumia kubaki madarakani zina malengo 2
1. Wanajua fika kuwa akiingia Rais ambaye si mtu wao faili la kifo cha Magufuri litafunguliwa maana wahusika wote wanajulikana
2. Wanataka wendelee kuiba na kuiba tena hadi CCM ianguke yenyewe.
Utachoka tu ndugu yangu, alichosema Polepole ni mbinu moja tu ya CCM kujipatia ushindi, bado zipo zingine 99 hajazitaja.
INawezekana hadi kufikia Mwishoni mwa septemba CCM itakuwa inasoma 70% ya ushindi wa mama
Kama ni kosa walifanya CCM ni kuweka utaratibu mgumu wa kumfikia mwenyekiti wao Rais wa nchi chini ya chama chao! Walisahau iko siku atakuja wa kuwanyoosha hata wao na chama chao!
Samia ameletwa na Mungu ili awasanue wakubali marekebisho ya Katiba na sheria zote kandamiz ikiwemo tume huru ya...
Ulivyo na akili ndogo sasa, unadhani hizo nida wanazipeleka kwa hiyari yao!? Inakuja kama amri tu, kila mtumishi ahakikoshe ktk file lake kuna hizo taarifa wanazozitaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.