Mkuu una ml 45 zinatosha tafuta fiat yenye uwezo wa kubeba mzigo wa tan 15 ambpo anzia na moja njoo dar es salaam nikuonyeshe biashara yakufanya nina hardware ningepata mtu kama wewe mwenye huo mtj wa ml 45 tungefanya kazi ya cement kuwa agent hyo ella yako inarudi kwa mwaka kama hyo hyo..so...
Wadau natafuta kioo cha sony flat cha kwangu ni kizima ila wino wake ndani umeisha nimeplka kwa fundi anasema kioo kimekufa ingawa hakijapasuka wala kukwaruzika popote mwenye nacho ani pm..sony flat nch 32 bei ya kioo nina sh.90,000 mwenye nacho tuwasiline..nipo dsm..
Eneo mabanda vipo..ni yakuongeza kama mtu ukiweka project mkianza na nguruwe let say 50 kila mmj anauzwa sh.60,000 wa mwez mmj inakuwa lak 3 then unanue pumba gunia 80 @20 sawa na sh.1600,000 prapertion ya mabanda tuseme lak 4 hapo tuwafuge kwa miez 5 wawe na kl 30 kila mmj ukija kuuza kwa kg...
Hawa ni matapeli..nasema tena hawa ni matapeli..alafu ckuiz yemeenda kwa walimu wastafu humo kijijini ili ukijiunga wewe uliye stafu ni rahis kuwa na hzo ml 4 na comcomvice mwenzie ajiunge hata kwa mwalimu ambaye hajastaff ili iwe rahic wewe uliyestaff inakuwa rahic kumlipia hyo ml 4 yaaan ni...
Unajua bhana life is like cicle.na maisha hasahasa kwa mtu uliyetoka chuo..unapokuja kitaa ..inakubd kidogo uwe mvumlv na ucjfanye mjuzi sana..cjui una vyeti..mara una masters..hyo haimati..kinachomata ni akili yako unavyoichanganya...kuna jamaa bwana alihaha anatafuta kazi..aihaso sana kitaa...
Marine inatgmea gage ngap utahtj nitafute private tunaweza kufanya kitu nikupe ufafanuzi zaid nitumie no yako nikuchk then i thnk ninaweza nikakupa ufafanuz vizur ukanielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.