Wa-Tanzania hasa wa LEO wanadanganywa na lugha nyepesi hivi?hujafanya tathmini sahihi,wa-tz wa leo wanajijua,na wanajua thamani ya nchi yao na utu wao,acha porojo za kisiasa,na Kama hauko Arusha,mwambie mtu anayeijua Arusha akwambie siasa za Arusha,huku hatutaki longo longo,ndio maana Mwigulu na...
Inaonyesha siku hizi makanisa yanawapa nyadhifa hata watu wasio na maadili ya kikanisa,au ndugu yangu wewe ni mwenye mtizamo wa dini yningine(ambayo sio ya kikristo)na ueamua kutumia JF kukashifu wakristo kwamba hata wazee wao wa kanisa ni wazinzi?ujue sijakuelewa,Acha kutafuta umaarufu kwa njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.