Kuna MWAKA wa huyu Mzee kugombea urais alisikika askari mmoja alisema hadharani Kikwete ni chaguo la Mungu mheshimiwa alifurahi sana Leo hao waliomsifu wametoa tamko juu ya ULINZI WA mali za taifa analalamika maaskof wasilete udini ila kwenye kampeini watumike
Sent from my TECNO KH6 using...
Naomba kueleweshwa juu ya upimaji wa vilele vya milima mirefu mpimaji hupima akiwa wapi (1) kileleni (2)chini yaani baharini kwa sababu Kila ukitajwa mlima unahusishwa na usawa wa bahari milima Kama Kilimanjaro, Everest, Tibet nk.
Kuuliza si ujinga!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo so mzuri kwenye jamii ya watu wastaarabu kama watanzania nakanusha kwa nguvu zote kwa mtoa post kwa sababu Niko Geita nimezaliwa geita nimekulia geita na ninazeekea geita Nina miaka 66 nskanusha geita hatuna utamaduni huo was kuzika watu hai waganga wa kienyeji kuzikwa wamekaa so geita tu...
Ndugu wana jf kwa ufupi naomba munisaidie kuwajua hawa wanaojiita SHAMAN wanajitangaza kwenye hii mitandao kundi LA watu gani au ndo jamii ya Freemason au illuminat
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma na Mimi mwanakijiji niliyeko nyanghwale naona pumba tu unawataja watu waliotibiwa mhimbili kama kielelezo cha Lisu kukiuka tarstibu za mstibabu je nao walipigwa risasi kama Lisu au nao wanatoka vyama vya upinzani kama Lisu aheri ulete viashiria vya waliompiga risasi ili tukuone kwamba...
Ndugu zangu wana jf naomba kueleweshwa juu ya dawati LA jinsia kwa sababu namba ya wanaume wanaokimbia miji yao kwa ajili ya kunyanyaswa na wake zao idadi yao inazidi kuongezeka ukienda machimboni na visiwani utawakuta no wengi sana na maelezo yao in kunyanyaswa na wake zao je dawati LA jinsia...
Hata sisi tuataka sana hilo unalosema sasa kodi ilipishwe uzalishaji na si mali ghafi tunalipia ardhi ya kuweka karasha na karasha lenyewe ila ukienda kwenye uzalishaji halisi nako tunalipa tena vizuri sana na mimi sisemi tusilipe ila kuwe na nafuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.