Recent content by GEOSI

  1. GEOSI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duuh,mbona ni vigumu sana kupata mfululizo 1,2,3,4 hadi 9 au12,nilijua hakuna formula ilimradi upate zozote tisa.
  2. GEOSI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapo nimekusoma,ila mkeka umeshachanwa na Roma,chievo,Villarreal,athletic club na sasa southampton
  3. GEOSI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hata mm nilidhan hivyo lkn wakaweka mkeka una timu 17,cjajua hapo inakuwaje
  4. GEOSI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    M-bet perfect 12 ndio ipoje?
  5. GEOSI

    Uhamiaji, Polisi, Magereza Hali mbaya. Mwezi wa 3 Bila Mshahara!

    Jamaa inaonekana ni msemaji wa haya majeshi
  6. GEOSI

    Ali Kiba: Sina nyumba bado, na hata nikiwa nayo sitajitangaza

    Tatizo Wabongo huwa hawataki kuambiwa ukweli, halafu wanajifanya wajuajii,Mhusika Mwenyewe ndio kasema hivyo halafu wewe hutaki,ila kama ni mumeo au ndugu yako yawezekana ikawa kweli maana utakua unamjua in and out.
  7. GEOSI

    Ali Kiba: Sina nyumba bado, na hata nikiwa nayo sitajitangaza

    Endekeza umaarufu ufe masikini
  8. GEOSI

    Ali Kiba: Sina nyumba bado, na hata nikiwa nayo sitajitangaza

    Namuona mpuuzi, VP no ndugu yako?
  9. GEOSI

    Ali Kiba: Sina nyumba bado, na hata nikiwa nayo sitajitangaza

    Kipindi flani walimuonyesha anatoa msaada wa M 21,eti akimzidi Diamond kw M 1 ambaye alitoa M 20,kumbe Jamaa hata kibanda hana.
  10. GEOSI

    Tukumbushane ukoloni uliowahi fanyiwa na wazee wako

    Huyo alikuwa mjerumani pure!
  11. GEOSI

    Tukumbushane ukoloni uliowahi fanyiwa na wazee wako

    Duuh,huyo alikuwa mjerumani pure.
  12. GEOSI

    IRINGA UNIVERSITY WASALITI.

    Wewe ni Mtz au unatoka Somalia?
Back
Top Bottom