Tatizo la wanaukawa hamtaki kuambiwa ukweli ,mtu akisema ukweli kanunuliwa na ccm tutanunua wote wanaosema ukweli? Jitambuen c kila kitu kulalamika tu.kama kushindwa mtashindwa tu haina ubishi
Ndo maana jimbon kwake madiwan wa chadema wametangaza kutomuunga mkono kwenye harakat za kampen na Leo wanachama wa vyama vinavyounda ukawa na viongoz wao wapatao 600 wamevihama vyama hvyo mwka huu ukawa itakua ukiwa
Unajua c lazma mtu anapotoa maon yaungwe mkono na watu wote sasa nawashangaa mnaoongea tu bila kujua maana ya mtazamo hayo yalikua maoni yake je yakwako ni yap?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.