Kijana kama unataka fanya kinachokupeleka chuo kwa nidhamu na ufanisi nenda main campus(Boardin) utafurahi...
Ila kama unapenda maisha ya KIOO nenda Big Brother Africa(Mabibo Hostel) utaenjoy..!
Mkuu...
Hivi UKUTA ina watu kweli wakuisapoti..!?
Maana huku kwetu kila nayemuuliza kuhusu hili suala la UKUTA huwa anageuka mbogo..!
Isije ikatokea akina Tundu Lissu wakajikuta wako wenyewe tu Barabarani..!
Mkuu...
Hivi UKUTA ina watu kweli wakuisapoti..!?
Maana huku kwetu kila nayemuuliza kuhusu hili suala la UKUTA huwa anageuka mbogo..!
Isije ikatokea akina Tundu Lissu wakajikuta wenyewe tu Barabarani..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.