Leo nimeuona huo waraka hapa kazini kwetu zaid umeainisha tu changes za madaraja lakin hawajaweka kila daraja itakua kiasi gani..but is true mabadiriko yapo..
huo ujumbe ulitumiwa na nani,jf ni sehemu ya habar zenye uhakika,msilete utan watu tunaasila na haya maisha coz watawala wetu hawana huruma na nahs hawajui jinsi tunavyoish katka mazingira magumu sasa wewe ukileta habar ka ma hz lazima uwe na uhakika nazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.