Recent content by george chambila

  1. george chambila

    Kuhusu ving'amuzi vya bein sport

    Kaka hii kitu ipo sema inatumia internet kuna jamaa anauza iringa huko sema bei yake sasa ni balaaa anauza 350k
  2. george chambila

    Kuhusu ving'amuzi vya bein sport

    Wadau kwa wale wenye connection na maswala ya ving'amuzi naombeni kujua ni wapi naweza pata king'amuzi cha bein sport kwa hapa tz.
  3. george chambila

    Tofauti ya usalama kati ya ebay na amazon

    Je ni ipi iko salama zaidi katika manunuzi ya vitu online kati ya ebay na amazon Naombeni msaada wakuu.
  4. george chambila

    Abroad job opportunities

    Kwa wale wenye uelewa jinsi ya kuweza kusearch na kufanya application za kazi kwa kutafuta nafas za kazi nje ya tanzania naomba msaada
  5. george chambila

    msaada

    je kwa wale wataaalamu wa maswala ya simu , je sim card yenye uwezo wa 4 g lite ina uwezo wa kufunction ktk simu yenye uwezo wa 3g?
  6. george chambila

    Msaada: Kutumia pads kwenye computer

    inafanya kazi vizuri lakini inaruhusu kucheza one person with pc so nataka nicheze mm na mtu mwingine tunataka tucreate kombe mm na yeye tushindane kila mtu achague team yake
  7. george chambila

    Msaada: Kucheza watu wawili PES 2014

    Kwa yule mzoefu na football games kama PES 2014 naomba msaada Nina pes 2014 na 2015 lakini nikiconnect pads za double shock ili tucheze watu wawili haiwezekani so ambae anajua hilo swala anisaidie ili niweze kufanikisha hilo tucheze mashindano watu wawili maana kucheza mtu mmoja tu hainogi so...
  8. george chambila

    Chief Mkwawa ana mchango mkubwa

    settings b4 sijafungua game yenyewe or
  9. george chambila

    Msaada: Kutumia pads kwenye computer

    jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
  10. george chambila

    msaada

    jamani kwa wale wanao ishi iringa mjini wapi naweza nikapata wireless joysticks (game pads) for PC
  11. george chambila

    Chief Mkwawa ana mchango mkubwa

    jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
  12. george chambila

    Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

    jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
  13. george chambila

    African Satellite World and Sat Gear

    jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
  14. george chambila

    msaaada

    nina pes 2014 na pes 2015 lakini ninapoconnect pad haitaki kucheza kwa pad sijui nifanyaje
  15. george chambila

    msaada

    jamani kwa wale wanao ishi iringa mjini wapi naweza nikapata wireless joysticks (game pads) for PC
Back
Top Bottom