Nadhani ni vema tunapoongea tuwe na facts vinginevyo hoja zetu zitaonekana hazina mashiko. Hivi ni kweli asilimia kubwa kati ya wananchi waliosajiliwa hawana vitambulisho, kweli? Hivi ni sahihi kwamba wananchi wengi waliosajiliwa hawana namba,kweli? hii si kweli kabisa. Wananchi wengi sana wana...
Wageni wakaazi wanapokuja nchini hupata kibali (working permit) ya miezi sita tu, hivyo kwa vyovyote vile ni lazima wapewe vitambulisho vya Mgeni Mkaazi kabla ya muda huo wa kibali chake hakijakwisha muda wake. Lakini pia Kitambulisho cha Taifa anachpoewa raia huyo wa kigeni kina ukomo tofauti...
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kukanusha taarifa iliyoandikwa katika mtandao huu leo ikiwa na kichwa cha Habari kisemacho "AFISA NIDA ASHTAKIWA KWA KUPOKEA HONGO KUTOA KITAMBULISHO KWA RAIA WA UGANDA"
Tunapenda kuufahamisha Umma na watanzania wote kwa ujumla kuwa NIDA haina...
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kukakasha taarifa iliyoandikwa katika mtandao huu leo ikiwa na kichwa cha Habari kisemacho "AFISA NIDA ASHTAKIWA KWA KUPOKEA HONGO KUTOA KITAMBULISHO KWA RAIA WA UGANDA"
Tunapenda kuufahamisha Umma na watanzania wote kwa ujumla kuwa NIDA haina...
ALIYESHITAKIWA KWA KUPOKEA RUSHWA ILI KUTOA KITAMBULISHO KWA RAIA WA UGANDA SI MTUMISHI WA NIDA
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kukanusha taarifa iliyoandikwa katika mtandao huu leo ikiwa na kichwa cha Habari kisemacho "AFISA NIDA ASHTAKIWA KWA KUPOKEA HONGO KUTOA KITAMBULISHO...
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kukanusha taarifa iliyoandikwa katika mtandao huu leo ikiwa na kichwa cha Habari kisemacho "AFISA NIDA ASHTAKIWA KWA KUPOKEA HONGO KUTOA KITAMBULISHO KWA RAIA WA UGANDA"
Tunapenda kuufahamisha Umma na watanzania wote kwa ujumla kuwa NIDA haina...
Unachosema kaka hiyo kweli. Mchakato wa maombi ya Kitambulisho unahusisha watu wengi katika hatua mbalimbali zikiwemo pia taasisi nyingine. Unapataje kwa siku moja? Na kama kuhonga pesa utawapa wote hao?
Jamani tuwe wakweli, hakuna siasa yeyote dhamira ni njema Vitambulisho vinatolewa kwa wote na si viongozi tu ingawa inaweza kuwa si kwa kasi tuliyotarajia. Namba ni nyingi mno zilizotolwwa na uzuri wameweka utaratibu wa huduma kutolewa kwa wenye namba kama ilivyonkwa wenye vitambulisho...
Vitambulisho vinaendelea kutolewa kama kawaida katika ofisi zote za usajili za Wilaya nchini. Lakini pia vilivyopelekwa katika ofisi za watendaji wa vijiji na Serikali za Mitaa vinatolewaNi ofisi ya Wilaya gani hiyo uliyoenda Mkuu ukaambiwa hawatoi tena? labda kama walikuambia kuwa...
Yaah Malima ni miongoni mwa watangazaji waliokuwa creative sana katika vipindi vyake. Vipindi maarufu alichokuwa akikitangaza kilikuwa kinaitwa 'Tumbuizo asilia na Mkoa kwa Mkoa'
Watangazaji wengine wa zamani wa RTD waliowahi kuwa maarufu ni pamoja na Abdallah Majullah (alikuwa akitangaza mpira pamoja, Kipindi cha michezo n.k, Geofrey Erneo (Kipindi cha klabu raha leo akishirikiana na Enock Ngombale, alikuwa mahili pia katika kipindi cha majira na Harakati. Kipindi cha...
KUNDI LA KWANZA LA WAISRAEL LAMALIZA ZIARA KWA MAFANIKO
Baadahi ya watalii kutoka Israel wakifanyiwa ukaguzi katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA) kabla ya kupanda ndege kurejea kwao Isreal.
Kundi la watalii 150 kutoka Israel limemaliza ziara yake ya siku hapa nchini na kuondoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.