Recent content by geofrey senyagwa

  1. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Msaada: Fundi anayeweza kutatua tatizo la USB/Flashdrive kusoma au kuhamisha mafaili kutoka USB ambayo haisomi

    Kwa kuhamisha mafaili hapana ila naweza kukusidia zisome upya kama hazisomi au nunua usb drive za u disk ambazo hazitumii software
  2. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Desktop complete inahitajika chap hata kama pentium 4 bajeti 80,000/-

    Hiyo ni bei ya monitor tu
  3. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Kushuka bei kwa simu za Oppo Kariakoo shida nini?

    Kama ni 3G kwanini ziwe za oppo tu
  4. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Kushuka bei kwa simu za Oppo Kariakoo shida nini?

    Mbona kibongo 3G bado inatamba sana tu maana network zenyewe mpaka city center tu
  5. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya kauli 'Delivery company has picked up the large shipment'?

    Hapo sawa mkuu umenisaidia kwenye website zingine ndo kwanza upo kwenye sorting center thank you
  6. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya kauli 'Delivery company has picked up the large shipment'?

    Jamani tuelewane vizuri parcel ipo dsm tayari hii nayo inahitaji shule?
  7. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya kauli 'Delivery company has picked up the large shipment'?

    Mzigo unaonyesha upo dar tayari
  8. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya kauli 'Delivery company has picked up the large shipment'?

    Habari zenu wana jukwaa jana nimeagiza parcel kwa kutumia aliexpress leo leo unaonesha mzigo umefika dar tayari shipping status inasema hivi "Delivery company has picked up the large shipment" nachotaka kujua hii large shipment ni nini? Na inatofauti gani na shipping ya kawaida?
  9. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Kushuka bei kwa simu za Oppo Kariakoo shida nini?

    Habari zenu wana JF, hivi karibuni nimeshuhudia poromosheni kubwa ya simu za kampuni ya oppo hasa zile za A series, unakuta internal storage 128, RAM 6, Qualcomm and octa core processor, ambapo simu zenye specifications hizo ziliuzwa bei kubwa sana lakini sasa zinauzwa 95,0000 hadi 100,000 je...
  10. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Niliagiza mzigo Aliexpress lakini nilikuwa sijafungua sanduku la posta. Je, naweza kuupata?

    Mamba ya simu niliweka pamoja email yangu
  11. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Niliagiza mzigo Aliexpress lakini nilikuwa sijafungua sanduku la posta. Je, naweza kuupata?

    Destnation united republic of tanzania dar es salaam
  12. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Niliagiza mzigo Aliexpress lakini nilikuwa sijafungua sanduku la posta. Je, naweza kuupata?

    Habari zenu wakuu niliagiza parcel kupitia aliexpress na mzigo unaonesha umesha wasili kwenye destination country shida inakuja nilikurupuka kuagiza mzigo kabla ya kuwa na sanduku la posta je naweza kuupata kweli mzigo au ndo imesha kula kwangu? Naomba msaada wa ufafanuzi juu ya hili wajuzi
  13. geofrey senyagwa

    JamiiForums Tanzania Virusi vya Corona: Kituo cha kudhibiti magonjwa cha AU chaitaka Tanzania kutoa takwimu

    walete vipimo vingine hivi vipimo vinavyopima mapapai hatuvitaki
Back
Top Bottom