Ndio maana 5+ zimepigwa sana ugenini wanategemea mbinu za kununua matefa na kupulizia sumu vyumbani miaka 4 ya yanga ajawai kupigwa 5 ni mpira wa uwezo tu sio kuforce
Nakubaliana na maneno yako ya muda ni hakimu mzuri sasa tunawai nini kumuhukumu nakumbuka hata chirwa tulisema hivi hivi mpira ni mchezo wa muda mavugo kaachwa sio kwa kiwango chake bali maneno mengi ya washabiki
France wameenda world cup straicker Giroud ampigi kelele sasa Makambo mechi 9 bao 4 sijui wenzetu mnataka nini maana wanaolalamika kuusu Makambo sio yanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.