Recent content by geofrey mwafyela

  1. G

    Tujadili kuhusu "VAT"

    Hata mim bro,nilielewa hivyo ila kuna upotoshaji tu kwa watu wasioelewa
  2. G

    Rais Magufuli usipokaa vizuri na wateule wako wananchi tutakuchoka asubuhi na mapema sana

    Sema nimemchoka,watu pia ni rasilimali,hauwezi ukawa na mapato mazuri kama haujaanza kuwatumuhia rasilimali watu,ingia class ukasome zaid juu ya HR
  3. G

    Waajiriwa mnaotaka kujiendeleza kupata shahada ya kwanza, mtaikumbuka CHADEMA

    Ilani ya chadema hiache kupotosha wananchi,mmeshindwa kupeleka misahada kwa watoto yatima mtaweza elimu bure hiyo ni danganya toto,mtawakama au mtawashika wasio helewa na hiyo ilan yenu ya elimu bure,chama kimejaa usaliti
  4. G

    UKAWA wamsusia Magufuli

    ukawa ni chama gani,hakieleweki,nimeshaanza kusahau pia kimepoteza sifa kabisa,hoja ya kutoka mjengoni,kumewamiliza kabisa,hauwe kuhamasisha watu kuandamana kwa kuonyesha kidole cha katikati,kuongopa mjengoni,sisi tunataka hoja na sio kutoka bungeni,ukawa wasilete mazoea ya bunge zililopita,sio...
  5. G

    Maneno ya Zitto kuhusu Jamhuri ya kufikirika

    Ztto si mpinzani to mwaka juz,na watapoteana tu,ilo tela tu
  6. G

    Sisi wataalam wa Tanzania tumesikitishwa na kauli yako Rais Magufuli

    Kingine nyie wabongo mnajifanya mnajua sana kukosoa na kutoa ushauri,kama we ni mtaalam wa IT vingapi umevigundua kupitia ujuzi wako watu wakutafute,hawatafuti swaga kwa kuandika online piga kazi will be some one else in this world
  7. G

    Sisi wataalam wa Tanzania tumesikitishwa na kauli yako Rais Magufuli

    Hoja,au swala sio kufahamu ila mmekosa uzalendo,mmeheka dili mbele kuliko uzalendo ndomana mnakosa chance ,hata kama umebobea sana kweny mambo ya IT kama hauna maadili ya kazi na uzalendo ur nothing
  8. G

    Kuwatumia watalaam toka Rwanda ni kudharau watalaam wa Tanzania

    Achen kubwabwaja tu kama hao wataalam wapo kwanin wasizibit mapato yanayopotea?tatizo wabongo hamna uzalendo mkipewa mishe mnapiga dili,kwann asifanye ivyo
  9. G

    Jipu lingine: Kodi kwa anayepokea hela kwa njia ya simu (double taxation ) sijui tuiiteje!

    Ukweli ni kwamba kile unachoambiwa changanya na akili zako,msitake kuleta mapenzi ya vyama kweny utendaji na ufuatiliaji wa kodi,kulipa kodi ni lazima na sio hiary nenda uendako
  10. G

    Jipu lingine: Kodi kwa anayepokea hela kwa njia ya simu (double taxation ) sijui tuiiteje!

    Kweli upinza unawamezesha watu vibaya kuhusu hiyo VAT,ebu rejea taarifa ya habari ya saa mbili usiku channel itv
  11. G

    Ni kwangu tu au?

    Nahitaji wa kubadilishanae,haje mtwara_ nanyumbu town me niende mbeya,njombe,au iringa kwa mawasiliano piga 0764098966
Back
Top Bottom