Inauma sana kwakwel,ifike mahali tubadilike watanzania. tujiulize kama huwez kumlea mtoto wa ndugu yako kwasababu hayupo dunian nan atakulelea wa kwako? tuachane na hili la kusema hanihusu,kwan madhara yake ni makubwa sana kwa mtoto na kwa jamii. Tuguswe na turipot tunapoona hali isiyo ya...
nnachojua mimi hakuna taasisi isiyokuwa na mapungufu.
nmesoma hapo na nmeajiriwa,wengi wanaoiponda udom hawaijui. nliwah kutembelewa na rafik zangu toka mzumbe walikaa udom zaid ya miez 3 walikuwa field,waliponda sana kwamba udom ni majengo lkn kadri muda ulivyozid kwenda walianza kutoa...
Karibu Moro,maeneo mengi ya morogoro vjjn ni kwenye safu ya mlima uluguru mkuyuni,matombo,kisaki,mvuha nk huko vyakula vyakutosha maji inategemea na eneo husika,usafiri upo kwa baadhi ya maeneo,mf kisaki hasa kpindi cha mvua huwa wanatumia tren. maeneo mengine ya wilaya hiyo ni...
tofauti ipo tu, lkn kwenye issue ya shule ndg ni uwezo wa mtu,ukisindikizwa na uchumi wa familia ndio maana tuna jinsia zote 2 ktk kila fani,wakati ww unapenda kuwa engineer kwa sababu ni mwanaume kuna mwanaume yupo sua akisoma tourism kwasabu ni interest,funguka kijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.