Mtanzania halisi........ soma vizuri andiko langu utanielewa, kama hujui kusoma mpe mtu akusomee na akueleweshe ili uone hoja yangu katika hilo ipo wapi....
Nimekuwa hapa mwanza kwa muda, kuna vitu huwa navishangaa jinsi vinavyoendeshwa, kuna ukiukwaji mwingi wa sheria na taratibu sijui ni kwa sababu wakazi wake ni wapole sana au ni kutokufahamu haki zao.
Mfano kuna msiba umetokea hapa karibu na sehemu ninayoishi barabara Balewa ni kama mita 600...
...... binafsi siyo mhaya ila huwa sipendi jinsi baadhi ya watu wanavyowasakama haya makabila mawili hasa wahaya na wachagga, utadhani siyo watanzania wenzetu, au hawakuumbwa na Mungu? , acheni hizo bhana....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.