siku moja nlikuwa natoka handeni kwenda dar , nikapanda ksk bus ambayo ni luxury kama hiyo yako , wakati imeanza safari , kituo kinachofuata alikuja dada mmoja , mzurii na kajaaliwa nyamaa nyama zilee vijana tunapenda kuitaa msambwandaa ,
aliingia akanisalimiaa kishaa akakaaa kweny siti...