Wakuu mpeni ushauri mzuri huyu bwana. Amekuwa muungwana kusema na anania ya dhati kuacha lakini ni ngumu kuacha. Huyu bwana ameathirika kiukweli. Kuacha ni ngumu, ila inahitaji maombi kwa kweli. Wengi wetu tumepita hapo na pengine tunaendelea kwa siri. Kama tumeacha, tumetumia njia zipi mpaka...
Niliwahi kuishi Jijini Stockhom Sweden, kitongoji kinaitwa Renkeby. Hili Eneo limitekwa na Wasomali na wahamiaji wengine hivyo wazungu waliokuwa wanaishi hapa nao wakasepa. Hawataki kuchanganyika na wahamiaji. Biashara nyingi hapa Renkeby zinaendeshwa na Waturuki, Waarabu na wahamiaji wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.