Kwa mtizamo wangu naona hata mama wa mtoto ni mkataili... kwa nn amuache mtoto wa miezi miwili aende kwenye mkutano? Kisheria mtoto anatikwa aanze kubaki na wazaidizi kuanzia miezi mitatu....
Mm nakushauri kama ndio nyumba yako ya kwanza na hela ni za kudunduliza kama mm uanze na nyumba ndogo kwanza ila angalau upate maahali pa kujisitiri wakati unajipanga kujenga nyumba kubwa kama uliyosema....
Gharama za ujenzi wa nyumba ambayo ina sqm 90 ambayo itakuwa na jumla ya vyumba...
Mm nadhani mchungaji kama mjumbe wa baraza la halmashauri ya manispaa iringa.. angetafuta njia mbadala ya kuwasidia hao wamchinga ni sio kupambana na serikali... au ndio tuseme hashiriki katika maamuzi ya halmashauri??? Wakati wa maamuzi ya kuwa wamachinga waondolewe yy alikuwa wapi???
Helo wana Jf. Naomba tujadili hili swala la baadhi ya watendaji wa serikali kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi. Then tume inaundwa inalipwa mamilion ya fedha at the tume inaleta majibu kuwa sio mafisadi then wanarudishwa kazini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.